Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

We ngoja wenzako wameshaanza kuulizia namba, mi nimeringa tu kuwapa, afu wewe unajifanya humaindi. Nitoe buku tano upate siti ya mbele.

Hata ingekua sh 20 ya zaman ncngekupa......nmezoea kupewa na s kutoa loh
 
Mnajiita vichwa vya family afu hamtaki kutoa pesaa.......kwa jasho utakula so ni kazi yenuu..mtuache loh
 
Kama umenitongoza tena kwa kunibembeleza sana aisee lazima ugharamie! Kama nimekutongoza mie najigharamia mwenyewe even shows nalipia na vocha nakutumia.

sijatongozwa na mwanamke nina muda , sijui nagundu.
 
i) Kuomba sana pesa hata kama na yeye ana kazi, hii imekuwa kama mazoea kuwa mwanaume ndiyo mtoa pesa in all life aspects.
hii siyo sawa maisha ya kusaidiana ndiyo yaletayo furaha na mafanikio maishani.

ii) Kulalamika sana akigundua mpenzi wake ana mchepuko, wakati na yeye mchepuko anao zaidi ya mmoja.

iii) Kujiona kuwa wao ndiyo wanaochezewa tu, ukidate nae, mara nyingi utasikia, usikute unanichezea tu! kwani unachezewaje? mauno unakata mwenyewe style mbalimbali unabuni nwenyewe hii kauli ya "usikute unanichezea tu" ifutwe...

iv) Mwanamke kujilipia mahari ili tu aolewe inakera sana, wapo wanawake wa hivi, anampa mwanaume pesa ili akamlipie mahari hii haileti heshima yoyote ile ndoani.

v) Kujifanya wanamisimamo kumbe hakuna kitu, ni fungu la kukosa!!

kweli kabisa mkuu, umeongea ukweli vpu:

v) niliwahi kushuhudia demu akimlipia mgegedo wake mahari.

vi) baadhi ya madem hujidai waaminifu sana kwa kudai kupima afya kabla ya kugegedana 'kavu', kumbe wizi mtupu!!!
 
Back
Top Bottom