spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
Koooooo nan akubembelezee kwa kipi haswa ulichonacho ichoicho walichonacho wanaume wotee
Bwana eeeh! Nanihilu yangu inathamani, kwanza nataka muwe mnalipia. Bila malipo hakuna huduma.
Koooooo nan akubembelezee kwa kipi haswa ulichonacho ichoicho walichonacho wanaume wotee
Bwana eeeh! Nanihilu yangu inathamani, kwanza nataka muwe mnalipia. Bila malipo hakuna huduma.
Hivi kutoa hela mtu analazimishwa au??
Si bora hausgel anifulie nimuongezee mshahara??
Nan kakwambia anashida na nanihu yakooi
We ngoja wenzako wameshaanza kuulizia namba, mi nimeringa tu kuwapa, afu wewe unajifanya humaindi. Nitoe buku tano upate siti ya mbele.
Hata ingekua sh 20 ya zaman ncngekupa......nmezoea kupewa na s kutoa loh
Kama umenitongoza tena kwa kunibembeleza sana aisee lazima ugharamie! Kama nimekutongoza mie najigharamia mwenyewe even shows nalipia na vocha nakutumia.
sijatongozwa na mwanamke nina muda , sijui nagundu.
Pole sana aisee lazima una gundu. Wadada wa siku hizi tunafunguka vibaya..
Pole sana aisee lazima una gundu. Wadada wa siku hizi tunafunguka vibaya..
nifungukie basi nione
Roho mbaya au!
Of course unaweza kupeleka hata kwa dobi, lakini jee hilo ndilo lengo lako? Na yale mengine utapeleka kwa changudoa?
Na yale mambo nalipia nayo??
😀😀😀 hapa umelenga hasa, tena utakuta yeye ndiyo mkali kwa styles na manjonjo mwisho wa siku wanalalamika kuchezewa.
i) Kuomba sana pesa hata kama na yeye ana kazi, hii imekuwa kama mazoea kuwa mwanaume ndiyo mtoa pesa in all life aspects.
hii siyo sawa maisha ya kusaidiana ndiyo yaletayo furaha na mafanikio maishani.
ii) Kulalamika sana akigundua mpenzi wake ana mchepuko, wakati na yeye mchepuko anao zaidi ya mmoja.
iii) Kujiona kuwa wao ndiyo wanaochezewa tu, ukidate nae, mara nyingi utasikia, usikute unanichezea tu! kwani unachezewaje? mauno unakata mwenyewe style mbalimbali unabuni nwenyewe hii kauli ya "usikute unanichezea tu" ifutwe...
iv) Mwanamke kujilipia mahari ili tu aolewe inakera sana, wapo wanawake wa hivi, anampa mwanaume pesa ili akamlipie mahari hii haileti heshima yoyote ile ndoani.
v) Kujifanya wanamisimamo kumbe hakuna kitu, ni fungu la kukosa!!
Nakuombea uwe na gundu hivo hivo....sijatongozwa na mwanamke nina muda , sijui nagundu.
Mmmh sijakupenda