Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

Kama umenitongoza tena kwa kunibembeleza sana aisee lazima ugharamie! Kama nimekutongoza mie najigharamia mwenyewe even shows nalipia na vocha nakutumia.
 
Tembosa my dear hutaki majukumu tena kiuhalisia mwanaume anajukumu la kumtunza mke ... ila lazima kuombwa pesa ... mwanamke kuna wakati ni lazimaumuhudumie hivi mkitaka haki sawa basi na nyie mbebe mimba... any way mimi bado mwanaume anayekwepa majukumu ni tatizo

najua hilo na sitayakwepa majukumu yangu.
ila make sure na wewe unaplay part yako kwa uzuri.
 
Kama umenitongoza tena kwa kunibembeleza sana aisee lazima ugharamie!

Haya yote yatafanyika endapo tu huyo ninayemshuhudia kwenye avatar ndio wewe...
 
jino kwa jino ukimwaga mboga namwaga ugali lol mmu kuna mambo!!!!!!!!! so humu wake kwa waume naona ngoma droo...... mana kuna mambo wafanyayo wanaume yanayokera vs mambo wafanyayo wanawake yanayokera duuuh!!
 
uuuuupsi usipohonga na kumlea mwanamke basi jua wewe chama lako ni NYETO.
 
Wanawake wanakera sana kuwa wanyimivu kila siku kusingizia tumbo alafu anataka muuza chipsi amburuze, eti wewe ndiye unayenifikia, kumaliza kero hii ni lazima uliwe kwanza alfu uulizwe kuwa umelizika na mzigo? sio unaoa bila kutestiwa alfu unalalama eti hainitoshi.
 
kinachonishanga ukikutana na wanawake kwenye mkusanyiko au ofisini kila mmoja anajifanya hataki kuwa tegemezi na wala hataki kumuomba omba mumewe au mpenzi wake hela za hapa na pale ,eti kila kitu anafaya kivyake kwa pesa yake.....sasa njoo kwene uhalisia uone liivyo toauti......wanataka waonekane strong mbele za watu.wakijificha kama hapa JF ndo utajua ukweli wa kile wanahofanya
 
Back
Top Bottom