kwani hata umenijua?
bahati mbaya sikuizi sijui hata kutongoza.
nitakukaribisha sehemu uongee na Mtoto halali na hela lazma utampenda tu....
Kwanini nisiongee na wewe na kwanini unadhani Mtoto halali na hela nitampenda?
Last edited by a moderator:
kwani hata umenijua?
bahati mbaya sikuizi sijui hata kutongoza.
nitakukaribisha sehemu uongee na Mtoto halali na hela lazma utampenda tu....
spade4spade ha ha ha imekuganda ..
kwani hata umenijua?
bahati mbaya sikuizi sijui hata kutongoza.
nitakukaribisha sehemu uongee na Mtoto halali na hela lazma utampenda tu....
Kwanini nisiongee na wewe na kwanini unadhani Mtoto halali na hela nitampenda?
tatty kataa nakupa V8 Mummy
tatty kataa nakupa V8 Mummy
thank you.. natafuta pesa wa ajili yako.
Na mie nina mume jamani! Mnataka kumpindua hivi hivi?
siku hizi ni double selection
Kuna mtu aliniambia eti mchepuko sio deal
hataivo ni uwongo nikupe v8 nimelogwa tatty
Kweli utakuwa umelogwa!
Miss chagga, amka! Njoo huku mitaa ya carifonia dreamers uone hii saa nane za usiku wanawake wanaopenda hela wako job! Naogopa kuwafotoa wasije wakanipeleka kwa plato kesho.
endapo nitakupa labda na usahau atanaivo demu mbovu hivi
Hata mimi nipo job mitaa ya makaburini...
Sizitaki mbichi hizi..