Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Jiulize kwa nn afikie hatua ya kukopa na ww upo uzembe umeanzia kwako wajibika kikamilifu ..kaa na mwenzio sikiliza mahitaji yake panga mipango ya pamoja na yeye muone mnafix vipi mahitaji yeke ya msingi na kwa wakati?

Wahudhuriaji wa Harusi wanafiki sana wsnavyofurahi unaweza Dhani mambo ni mepesi kumbe huko ndani mambo ni moto
anyway hiyo kwa faida ya wengine kwa sababu mimi mke wangu ni mange kimambi hana shida ndogo ndogo.
 
1 . Mpe nafasi ya kucheat .as long atatumia protection n arudi kwa nyumba. Kwa maana ukishindana n mwanaume utachoka

2.Mheshimu.

3.mpe yote kitandani

4.usimufokee

5.usiwe mropokaji

6.mpikie chakula kitamu

7. Uwe msafi

8. Usiwahi shika simu yake.

9.heshimu wazazi wake.

10. Be a supportive wife.

11. Kuwa mwanamke asiye omba pesa ovyo ovyo.

Wanaume kuna kitu tumesahau hapo.!?
11😃😃😃🤣🤣🤣
 
anyway hiyo kwa faida ya wengine kwa sababu mimi mke wangu ni mange kimambi hana shida ndogo ndogo.
Wanaume wa kisasa mjiandae kisaikolojia kulipia uzembe wenu wa kutowajibika kwenye familia zenu kwa kigezo kwamba wanajiweza..mtachapiwa sana hadi akili ziwakae sawa
 
Wanaume wa kisasa mjiandae kisaikolojia kulipia uzembe wenu wa kutowajibika kwenye familia zenu kwa kigezo kwamba wanajiweza..mtachapiwa sana hadi akili ziwakae sawa
sawa lakini wakati mwingine ni hulka tu ya mwanamke kuchepuka.
 
hivi wadada nao waanq condom zao eeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom