Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Mambo muhimu kwa mwanamke unapoolewa

Can marriage be termed as a scam thing even for those who are its product(s)?
 
Mara kumi? Nimeachika mpaka nimekubuhu sasa,ngoja tuone ndoa ya sasa huenda atanivumilia🤨🄓
Ikifika 2026 naoa mke wapili
Kwikwikwi
Kidn
Mpwaa
 
Mara kumi? Nimeachika mpaka nimekubuhu sasa,ngoja tuone ndoa ya sasa huenda atanivumilia🤨🄓
Mi nilioa 2005 azania front sherehee diamond jubilee wallilipq wahindi nduguu balaaqq Dec 14 nikaacha kilakitu nkaondoa na begi ila yale maamuzi nilimmwomba Mungu na Roho Mt akanionyesha soon niko leenye kaburii run ndugu I will never fgt it
 
now nina wife na bybs wenye happiness na šŸ’–
 
YAAN UKIINGIA KWENYE BETTING NDIO UTAJUA NDOA NN NINI
 
Mi nilioa 2005 azania front sherehee diamond jubilee wallilipq wahindi nduguu balaaqq Dec 14 nikaacha kilakitu nkaondoa na begi ila yale maamuzi nilimmwomba Mungu na Roho Mt akanionyesha soon niko leenye kaburii run ndugu I will never fgt it
Pole sana mkuu...bila changamoto hujakamilika
 
sawa lakin mkuu viccoba vya siku hizi vina mambo mengi zaidi ya kufanya saving.
Jiulize kwa nn afikie hatua ya kukopa na ww upo uzembe umeanzia kwako wajibika kikamilifu ..kaa na mwenzio sikiliza mahitaji yake panga mipango ya pamoja na yeye muone mnafix vipi mahitaji yeke ya msingi na kwa wakati?
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚Naolewa tena soon kipenzi....ila ndoa nyie...acheni tušŸ™Œ
Wahudhuriaji wa Harusi wanafiki sana wsnavyofurahi unaweza Dhani mambo ni mepesi kumbe huko ndani mambo ni moto
 
Jiulize kwa nn afikie hatua ya kukopa na ww upo uzembe umeanzia kwako wajibika kikamilifu ..kaa na mwenzio sikiliza mahitaji yake panga mipango ya pamoja na yeye muone mnafix vipi mahitaji yeke ya msingi na kwa wakati?

Wahudhuriaji wa Harusi wanafiki sana wsnavyofurahi unaweza Dhani mambo ni mepesi kumbe huko ndani mambo ni moto
Na hawakuambii zaidi ya kusema ndoa ni uvumilivu 🄓
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom