watching movies
Senior Member
- Jul 18, 2025
- 148
- 162
Tumeona nyie ni zaidi ya makopo😂😂😂Na akirudi toka mchepukoni umpikie ChaKula kitamu🤓🤓🤓🤓🤓
Tumeona nyie ni zaidi ya makopo😂😂😂Na akirudi toka mchepukoni umpikie ChaKula kitamu🤓🤓🤓🤓🤓
Hivi hii imekaaje mkuu nashangaa kuna wanaume wanapinga wawake kuwa na vikoba wakati kiuhalisia hawaezi kutimiza majuku yao kiufasaha sio kwa watoto wala mke..nowdeiz kwa %kubwa ni kawaida mume kutohudumia hasa mkewe apambane mwenyewe kuvaa ,kusuka michango ya kijamii (misiba &sherehe)kusaidia familia alikotokea na bado ataachiwa majukumu ya nyumbani..tena kama huuo bwana ndo kampa mtaji wa kibiashara ndo anajitoa kabisa kuhudumia mahitaji ya nyumbani..akjua hajaacha chochote anajua kinapikwa cha chukuchuku mume hali nyumbani atakula mgahawani.supu kuku nk unadhani bila vikoba kwa system hiyo mwanamke bila vikoba anatoboaje.. wanaume kutowajibika kumepelekea kuwa na vikoba kwa wanawakeAsiwe mwanachama wa VIKOBA.
ova
Mumy hivyo na wewe unaungana na wale kataa ndoa? 😀Marriage is a scam thing🚮
😂😂😂Naolewa tena soon kipenzi....ila ndoa nyie...acheni tu🙌Mumy hivyo na wewe unaungana na wale kataa ndoa? 😀
Hebu ingia fasta ili tuicheze hii ngoma pamoja. 🤣🤣😂😂😂Naolewa tena soon kipenzi....ila ndoa nyie...acheni tu🙌
😂😂Nilicheza miaka mitatu tu nikakimbia,sijui wa sahivi🥴Hebu ingia fasta ili tuicheze hii ngoma pamoja. 🤣🤣
sawa lakin mkuu viccoba vya siku hizi vina mambo mengi zaidi ya kufanya saving.Hivi hii imekaaje mkuu nashangaa kuna wanaume wanapinga wawake kuwa na vikoba wakati kiuhalisia hawaezi kutimiza majuku yao kiufasaha sio kwa watoto wala mke..nowdeiz kwa %kubwa ni kawaida mume kutohudumia hasa mkewe apambane mwenyewe kuvaa ,kusuka michango ya kijamii (misiba &sherehe)kusaidia familia alikotokea na bado ataachiwa majukumu ya nyumbani..tena kama huuo bwana ndo kampa mtaji wa kibiashara ndo anajitoa kabisa kuhudumia mahitaji ya nyumbani..akjua hajaacha chochote anajua kinapikwa cha chukuchuku mume hali nyumbani atakula mgahawani.supu kuku nk unadhani bila vikoba kwa system hiyo mwanamke bila vikoba anatoboaje.. wanaume kutowajibika kumepelekea kuwa na vikoba kwa wanawake
Njoo PM 😋Yote hayo nayaweza isipokuwa Namba 8!
Unifundishe Nini?Njoo PM
Nikupe 🌹🌷 yako.😋Unifundishe Nini?
Inahusianaje na mada?Daktari samia atashinda kwa 99.9%.