Mambo ya Mungu
Senior Member
- May 6, 2019
- 106
- 90
Umeisoma hiyo mistar?Sijakuelewa.
Umeisoma hiyo mistar?Sijakuelewa.
NdioFeminist?!
Mmh kubali tu mnatafuta kwajili ya wanawake...😀😀Wanaume wanatafuta hela ili wapate vitutofauti kabisa na unavyovizungumzia wewe
Mwanaume ukioa kaa ukijua kuwa hela ya mwanamke ni yake peke yake. So if u dont have money ujue hapo ndoa italegalega. Tusidanganyane bwana ....mapenzi bila pesa hamnaga.
Nasaidia kujibu!How, kivipi?? mfano tafadhali
I got you, mambo mengine vipi lakini??Nasaidia kujibu!
Wabinafsi ndiyo mfano mwanaume kuchepuka anao sawa lakini mkewe kuchepuka ni kosa!! Huo ni ubinafsi,kama inavyokuuma wewe na yeye inamuuma hivyo hivyo...
Hongera zakoSio kweli mnapooana mnakuwa kitu kimoja, Mimi huwa ninatoa kila mwezi tangu nilipoolewa na huu ni mwaka wa kumi kwenye ndoa yangu, tena natoa mwenyewe bila kushurutishwa na pasipo na manunguniko hata ninapopata bonus huwa naileta yote nyumbani tunashauriana kiasi kadhaa tukipeleke kanisani kama shukrani kwa Mungu.
Hii inategemea na aina mtu uliyemuoa na uelewa wake ukoje.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hapana aiseeMmh kubali tu mnatafuta kwajili ya wanawake...😀😀
Word4.hasa kwa mwanaume,mtu anaoa anajua hapa yes, sinunui tena makahaba sinza nakuwa namgegeda mke wangu asubuhi,mchana na jioni tena bila condom,ila akioa tu mara mwanamke anasema amechoka,mara hayupo kwenye mood,mara hajisikii kufanya mapenzi,mara yupo busy na watoto,ndoa nyingi zinayumba baada ya mwanamke kuzaa,waliooa mashahidi,kwa mwendo uo lazima uchepuke tena ukioa ndo unachepuka kwa speed 180 kumzidi hata bachelor
Yap,kwa mtindo huo lazima uruke fenceWord
Sasa hata mkiwa na upendo wa kweli mtakula mawe? Uchumi ukiyumba unaleta migogoro kwasababu ya stress,hapo ndio uhusiano unaanza kubomoka.
Upo sawa4.hasa kwa mwanaume,mtu anaoa anajua hapa yes, sinunui tena makahaba sinza nakuwa namgegeda mke wangu asubuhi,mchana na jioni tena bila condom,ila akioa tu mara mwanamke anasema amechoka,mara hayupo kwenye mood,mara hajisikii kufanya mapenzi,mara yupo busy na watoto,ndoa nyingi zinayumba baada ya mwanamke kuzaa,waliooa mashahidi,kwa mwendo uo lazima uchepuke tena ukioa ndo unachepuka kwa speed 180 kumzidi hata bachelor
4 ndio inatuletea masingle mother/father wengi kwa sasa. Atleast uchumba ukae kwa muda gani4: great expectations as if unaoa/kuolewa malaika,,,,
5:uchumba wa muda mfupi,
Pole rafiki...Dah yan nimekuwa mdogo kama piriton wallah!!!
Nachambwa mimi Jamani! !!
Ila siku haijaisha kabla sijalala itabidi nishtue kidogo! !!Pole rafiki...
Leo mazoezi vipi eti
Hahahah....haivumiliki,ila ni rahisi kupata mbadala wake...as long as pesa ipo kws huyu wa kwanza.Kwangu mimi inavumilika as long as money ipo