Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,684
- 45,613
😂😂😂😂utawezaa???Naomba kazi ya kuirudisha hio hamu
😂😂😂😂utawezaa???Naomba kazi ya kuirudisha hio hamu
Haya,.location bila shaka unayo...You never know
😊😊Consider it done.
Mkuu ww wako mnafanya kila baada ya muda gani?Kwahio mzee unapiga mwaka mzima?
Hili ukilifuatilia kwa mapana yake ndio sumu kuliko hata hayo mengine...U binafsi huvunja sana ndoa. Ukisha oa au kuolewa ni miili miwili umekuwa mwili mmoja. Unapofanya maamuzi yeyote ni lazima umshirikishe mwenzako.
Kuna vitu ibabidi u sacrifice, mfano dream ya kujiendeleza kimasomo kama inaingiliana na ratiba ya mume mke na watoto.
Hakuna ratiba
Kama maisha yangekuwa rahisi hivyo.Tukifuata maagizo ya Mwenyezi Mungu kama yalivyotanabaishwa katika vitabu vya dini naamini hakutakuwa na migogoro ya kimazoea" mwanamke na amtii mumewe na mwanaume ampende mkewe" kutii atii kweli katika kila hali na hali zote na kupenda ampende katika hali zote za kimaisha..
Nawatakieni jioni njema wananzengo nyote kwa ujumla wenu....
Unfortunately life isn't that straightforwardMungu aliumba binadamu athaminiwe na vitu vitumike..tatizo la dunia ya leo, binadamu wanatumiwa na vitu vinathaminiwa kindakindaki.
Tunapingana na asili(nature) wakati asili haijawahi shindwa na mwanadamu toka uumbaji na uumbaji mpaka Leo asili inazidi kuibuka kidedea..
nawatakieni jioni njema wananzengo
RafikiAsante Uwe na siku njema pia! !
Rafiki
Rafiki, uko wapi eti wewe kibonge jamaniii!!Rafiki hvi unajua jinsi nilivyokumiss
Kikubwa ni tendo la ndoaInasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1. Pesa
2. Tendo la ndoa
3. In-laws(wakwe, wifi, mashemeji etc)
Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
Hutosheki mmoja kwnn unaingia kiapo cha ndoa?.Men don't want sex, they need sex,ni basic need,so hii inaprove mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja, unasema wanawake wanafanya sex na mtu ambaye wapo attached naye emotionally,nini kinasababisha mwanamke asiwe na emotions kufanya sex most of the time??
Kama huna pesa hamu ya tendo la ndoa inatoka wapi? Imagine unawaza utakula nini au watoto wamerudishwa nyumbani kwasababu ya ada....hio hamu ya tendo la ndoa itatoka wapi?Kikubwa ni tendo la ndoa
Wivu hauna mwanamke wala mwanaume
Wala pesa wala wakwe
Hata vitabu vya dini vimesema