Hiyo ni mwanamke mmoja kwa million kumi. Ukipata wa hivyo well and gud ila kutopata disappoints ni bora mwanaume usitegemee hela ya mkeo wee beba majukumu yote weye peke.Sio kweli mnapooana mnakuwa kitu kimoja, Mimi huwa ninatoa kila mwezi tangu nilipoolewa na huu ni mwaka wa kumi kwenye ndoa yangu, tena natoa mwenyewe bila kushurutishwa na pasipo na manunguniko hata ninapopata bonus huwa naileta yote nyumbani tunashauriana kiasi kadhaa tukipeleke kanisani kama shukrani kwa Mungu.
Hii inategemea na aina mtu uliyemuoa na uelewa wake ukoje.