Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
- Thread starter
- #21
Fanya makeke usiwepo kwenye zamu. Nunua sabuni, brash na vifaa vingine vya usafiRatiba za kusafisha choo
Fanya makeke usiwepo kwenye zamu. Nunua sabuni, brash na vifaa vingine vya usafiRatiba za kusafisha choo
Uswazi nomaUkipika pilau Bila kukaribisha majirani utaleta uadui
Msipogombana na mkeo, wanatunga uongo ili mgombaneHahaha nyumba za kupanga kufuatilia maisha ,anapiga mishe gani ,amepika nini....vipi leo wamegombana na mkewe/mmewe au lah?
Uswahilini ukijielewa tu basi ushakuwa adui yao1. Saa moja asubuhi wamama na wadada wako busy na vidumu vyao kwenda kumwaga mikojo waliyokojoa vyumbani mwao usiku.
2. Maeneo ya jirani na choo huge hugeuzwa kuwa kijiwe cha kupigia umbea, no privacy unawaza hata kwenda chooni.
3. Wamama wana matusi hao balaaa. Siku moja mama mmoja kamwambia mwanae, wewe mbwa nakuita kwanini husikii? Nikaitwa mbwa, mbwa, mbwa, mbwa huku nikipiga na kamluzi. Yule mama akaacha hata kunisalimia.
4. Uswahilini ukiingia na demu mpya ghetto wale wa mama wambea utawasikia wakisema huyu aliyemleta leo mbaaaaaaya bora hata yule wa jana.
5. Ghafla nje ya nyumba mnayoishi jambo anafungua gereji bubu, makelele na mamoshi vinawaishia nyie, serikali ya mtaa wote wako kwenye payroll yake, ukienda kushitaki unajibiwa hiyo anayofanya sio biashara haramu.
6. Wabibi huku kwetu ndio huonekana vigagula, utasikia yule usione aatembelea mkongojo, usiku ana mbio balaaa.
7. Wauza genge na wauza chips ndio wanawala kichizi dada zenu na wake zenu.
8. Michango ya LUKU na maji ni mwanzo wa uadui mpya
Unajidai mjuaji sio, na utahama mtaa huuUswahilini ukijielewa tu basi ushakuwa adui yao
Na wenyewe wakiombwa wasiwe wachoyo wakumbushe mla cha mtu na chake huliwa pia.Kuna watu wanaishi maisha ya kuunga unga. Asubuhi ataomba chai mlango wa Asha, ataomba kipande cha muhogo kwa Aylan, ataomba andazi kwa Mwifwa anakunywa anashiba.
umoumo kiongozi tunapitia magumu sana eti kaangalie kanalinga sana kaleUnajidai mjuaji sio, na utahama mtaa huu
Wanakuona mchawiUswahilini ukijielewa tu basi ushakuwa adui yao
Bila mshaharaUswazi kazi
Hatariumoumo kiongozi tunapitia magumu sana eti kaangalie kanalinga sana kale
Ukibeba Chpsi vtoto vyao vinakodoa mimacho kama mijusi iliyobanwa na mlango wa Gereza.1. Saa moja asubuhi wamama na wadada wako busy na vidumu vyao kwenda kumwaga mikojo waliyokojoa vyumbani mwao usiku.
2. Maeneo ya jirani na choo huge hugeuzwa kuwa kijiwe cha kupigia umbea, no privacy unawaza hata kwenda chooni.
3. Wamama wana matusi hao balaaa. Siku moja mama mmoja kamwambia mwanae, wewe mbwa nakuita kwanini husikii? Nikaitwa mbwa, mbwa, mbwa, mbwa huku nikipiga na kamluzi. Yule mama akaacha hata kunisalimia.
4. Uswahilini ukiingia na demu mpya ghetto wale wa mama wambea utawasikia wakisema huyu aliyemleta leo mbaaaaaaya bora hata yule wa jana.
5. Ghafla nje ya nyumba mnayoishi jambo anafungua gereji bubu, makelele na mamoshi vinawaishia nyie, serikali ya mtaa wote wako kwenye payroll yake, ukienda kushitaki unajibiwa hiyo anayofanya sio biashara haramu.
6. Wabibi huku kwetu ndio huonekana vigagula, utasikia yule usione aatembelea mkongojo, usiku ana mbio balaaa.
7. Wauza genge na wauza chips ndio wanawala kichizi dada zenu na wake zenu.
8. Michango ya LUKU na maji ni mwanzo wa uadui mpya