Mambo gani yanayokukera huku Uswahilini kwetu na hasa kwenye nyumba za kupanga?

1. Saa moja asubuhi wamama na wadada wako busy na vidumu vyao kwenda kumwaga mikojo waliyokojoa vyumbani mwao usiku.

2. Maeneo ya jirani na choo huge hugeuzwa kuwa kijiwe cha kupigia umbea, no privacy unawaza hata kwenda chooni.

3. Wamama wana matusi hao balaaa. Siku moja mama mmoja kamwambia mwanae, wewe mbwa nakuita kwanini husikii? Nikaitwa mbwa, mbwa, mbwa, mbwa huku nikipiga na kamluzi. Yule mama akaacha hata kunisalimia.

4. Uswahilini ukiingia na demu mpya ghetto wale wa mama wambea utawasikia wakisema huyu aliyemleta leo mbaaaaaaya bora hata yule wa jana.

5. Ghafla nje ya nyumba mnayoishi jambo anafungua gereji bubu, makelele na mamoshi vinawaishia nyie, serikali ya mtaa wote wako kwenye payroll yake, ukienda kushitaki unajibiwa hiyo anayofanya sio biashara haramu.

6. Wabibi huku kwetu ndio huonekana vigagula, utasikia yule usione aatembelea mkongojo, usiku ana mbio balaaa.

7. Wauza genge na wauza chips ndio wanawala kichizi dada zenu na wake zenu.

8. Michango ya LUKU na maji ni mwanzo wa uadui mpya
Uswahilini ukijielewa tu basi ushakuwa adui yao
 
Wadada kukaa kwenye vikorido na milango ya wapangaji wengine

Wadada kukaa karibu na toilet, Jambo linalotufanya watu tushindwe kutekeleza haja zetu huko machooni kwa raha mustarehe, yaan mtu inakubidi uingie toilet kwa target na ukiingia inakubidi ufungulie bomba la maji mpka mwisho ili wasisikie Mambo yaleeee.

Makelele ya wale wenye visabufa vya kichina, yaan jitu lnaweka maplay list yake nikama kaombwa kufanya hivyo kuwasikilizisha manyimbo yake siku kucha.

Uchafu vyooni na mabafuni

Umbea na kufuatilia maisha ya wapangaji wengine.
 
Kinachonikera uswahilini ni yale mambo ya kupangiana maisha. Yaani unakuta mtu huna amani, maisha yao ni ya kusemana kutwa kuvaliana sare za kusutana. Yaani hawabadilki
 
1. Saa moja asubuhi wamama na wadada wako busy na vidumu vyao kwenda kumwaga mikojo waliyokojoa vyumbani mwao usiku.

2. Maeneo ya jirani na choo huge hugeuzwa kuwa kijiwe cha kupigia umbea, no privacy unawaza hata kwenda chooni.

3. Wamama wana matusi hao balaaa. Siku moja mama mmoja kamwambia mwanae, wewe mbwa nakuita kwanini husikii? Nikaitwa mbwa, mbwa, mbwa, mbwa huku nikipiga na kamluzi. Yule mama akaacha hata kunisalimia.

4. Uswahilini ukiingia na demu mpya ghetto wale wa mama wambea utawasikia wakisema huyu aliyemleta leo mbaaaaaaya bora hata yule wa jana.

5. Ghafla nje ya nyumba mnayoishi jambo anafungua gereji bubu, makelele na mamoshi vinawaishia nyie, serikali ya mtaa wote wako kwenye payroll yake, ukienda kushitaki unajibiwa hiyo anayofanya sio biashara haramu.

6. Wabibi huku kwetu ndio huonekana vigagula, utasikia yule usione aatembelea mkongojo, usiku ana mbio balaaa.

7. Wauza genge na wauza chips ndio wanawala kichizi dada zenu na wake zenu.

8. Michango ya LUKU na maji ni mwanzo wa uadui mpya
Ukibeba Chpsi vtoto vyao vinakodoa mimacho kama mijusi iliyobanwa na mlango wa Gereza.
 
Back
Top Bottom