Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Habari wana JF! Leo ngoja tuangalie kero mbali mbali kweny nyumba za kupanga uswahilini.
Ukisikia uswahilini kuna vituko ndo huku unakuta mtu mwanaume anaamka amevaa kanga ya mkewe anaenda kuoga huku mnara umesimama si unajua tena asubuhi halafu anapita kwenye korido ambako kuna wamama hii kweli sio tabia nzuri hata kidogo, mwanamke akipika analazimika asubiri hapo hapo la sivyo wenzake wanamuongezea chumvi ili adundwe na mumewe.
Mziki mkubwa ndo zao ukiuliza unaambiwa yupo chumbani kwake na analipia kodi.
Uswahilini kuna vituko hata ukila nyama au wali baba mwenye nyumba anakuja kukumba advance ya kodi ukisema huna anakwambia mbona kila siku unakula nyama.
Sasa mtu unajiuliza muda wa kodi yake babo analazimisha umpe advance hii imekaaje. Wenye nyumba uswahilini mtuvumulie na sisi tuna matatizo kama yenu.
HIVI NI VITUKO USWAHILINI, USWAHILINI KUNA VITUKO
Ukisikia uswahilini kuna vituko ndo huku unakuta mtu mwanaume anaamka amevaa kanga ya mkewe anaenda kuoga huku mnara umesimama si unajua tena asubuhi halafu anapita kwenye korido ambako kuna wamama hii kweli sio tabia nzuri hata kidogo, mwanamke akipika analazimika asubiri hapo hapo la sivyo wenzake wanamuongezea chumvi ili adundwe na mumewe.
Mziki mkubwa ndo zao ukiuliza unaambiwa yupo chumbani kwake na analipia kodi.
Uswahilini kuna vituko hata ukila nyama au wali baba mwenye nyumba anakuja kukumba advance ya kodi ukisema huna anakwambia mbona kila siku unakula nyama.
Sasa mtu unajiuliza muda wa kodi yake babo analazimisha umpe advance hii imekaaje. Wenye nyumba uswahilini mtuvumulie na sisi tuna matatizo kama yenu.
HIVI NI VITUKO USWAHILINI, USWAHILINI KUNA VITUKO