Mambo gani yanayokukera huku Uswahilini kwetu na hasa kwenye nyumba za kupanga?

Nishapajua Au nikutajie mpka Mtaa haha
Kuna rafiki yangu anakaa pale Ilala nilikuwa natoka home nakwenda kuvuta bangi ghetto lake. Mule ndani kulikuwa na mama wa kiarabu na watoto wake wazuri hatari, tukiwa nje tunavuta bangi mara hupita na khanga zao mgegedo huanza kusimama wakitoka chooni huingia chumbani mwao na kufunga dirisha. Hapo masela hubaki aahh kwanini unafunga dirisha na mimacho mekundu kama wanga wa msata.



Lunatic
 
Mimi naipenda sana Mwananyamala asubuhi unanunua Chapati na Maharage yale maharage unakuja kuyaunga na nyanya na vitunguu unakuja kula na Ugali mchana usiku kuna chips za Jerojero.
 
Ukipita asubuhi kwenye zile chobingo lazma ukute wanaake wamekaa vibaya mapaja njenje
 
Kuna mshkaji wangu alikuwa anapigiaga nyeto hadi analia. RIP C. Mayomi!!!
Mimi ilikua mida yangu ya saa 3 asubuhi unawakuta wengine wanafua wengine wanaosha vyombo na kanga moja full kujidowlodia na kwenda kupiga nyeto gheto
 
Back
Top Bottom