Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

Kwani yeye alivyo olewa hajatosheka?? Hawa wazazi kuna namna inabidi wafike mahali wakubaliane na uhalisia wako kama unaona muda wako wa kuoa haujafika. Hizo pressure anazokupa mama yako ukiziendekeza zinaweza kuja kukuletea matatizo hapo mbeleni.

BTW imekuwaje uko ‘tayari’ kuoa na hauna hata girlfriend?? Inaonekana injili ya mama imekuingia kichwani.

Usikurupuke utakuja kujuta.
Sisi wengine tulishatoa majibu yaliyopelekea kutokuulizwa tena hayo maswali ya kuoa.
 
ukweli unaoumiza ukiona mpaka mama anaingilia kukuchagulia mke ujue hata ukioa atakupangia mengi wewe na mkeo na hiyo ndoa ataivuruga maana atawaingilia kwa mengi,mama ana nafasi yake tena ya muhimu kweli kweli ila jifunze kufanya maamuzi pasipo kukumbushwa na yeye kitu chochote kile ili asione ana haki ya kuingilia kila jambo na maamuzi ili asikuvuruge si unajua tena mama akikupenda😂
 
Mama ana presha anaona kijana Kwa umri huo inabidi awe na wajukuu kama watatu hivi wa kucheza nao, kama wewe limekushinda basi waambie wazee wakutafutie, suala la wewe binafsi kupata mtu wa Kuoa lazima uwe na committment maana hakuna wa kukusaidia zaidi yako mwenyewe.
 
Katika vitu sitaki pressure ni suala la kuoa

Mzee Juzi alinambia oa ukiwa tyr ndani yako na sio jamii....


Agemates walionizunguka wengi watoto wapo kwa bibi, wengine kwa dada wengine kwa mama zao wengine washaachana mbele ya wazazi

Yaan kila muda wanajuta

Kuoa ni muhimu nami nikaone kususiwa bure au mpaka ninunue maini ndo ntapewa cc min -me
Wataalamu wa mahusiano wanakwambia, kwa sasa kama umefika miaka 33 na bado haujaoa technically tayari umeshaikwepa talaka yako ya kwanza
 
Hapa ninachoona unaogopa kuoa kwasababu ya majanga yanayotokea kwenye ndoa za waliokuzunguka.

Dont fear bro Monetary doctor.
Maana Hata ukichelewa kuoa . Kama ni kupata majanga utapata tu. Na kama hautapata bas hautapata.

Kwahiyo kuchelewa hakufanyi usipate majanga .

Ni muhim kuoa mapema.
mwil ukiwa umechoka. Bas vijana wako wanakuwa wanajitegemea.
Nimekuelewq brother........

Sijahofia sana ila stipend kulinganishwa tuu fulani vile wewe hv basi naona jau
 
kaa bachela sio lazm uoe mwambie bi mkubwa ache kuzingua maisha ya kwako usikupange
 
Hapa ninachoona unaogopa kuoa kwasababu ya majanga yanayotokea kwenye ndoa za waliokuzunguka.

Dont fear bro Monetary doctor.
Maana Hata ukichelewa kuoa . Kama ni kupata majanga utapata tu. Na kama hautapata bas hautapata.

Kwahiyo kuchelewa hakufanyi usipate majanga .

Ni muhim kuoa mapema.
mwil ukiwa umechoka. Bas vijana wako wanakuwa wanajitegemea.
Kuoa sio lzm mm nna 28yrs na sina mpango wa kuoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom