Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

Mama yangu anataka mkwe, na sina hata girlfriend

Soon atasema anataka hata mjukuu basi.

BTW: Dar ina raia wanafikia 8.5M kwa hii April 2026,okota chengu yeyote humo kama ni lazima kuoa.

Wa pori ukimleta huko utaumia tu.
 
Katika vitu sitaki pressure ni suala la kuoa

Mzee Juzi alinambia oa ukiwa tyr ndani yako na sio jamii....


Agemates walionizunguka wengi watoto wapo kwa bibi, wengine kwa dada wengine kwa mama zao wengine washaachana mbele ya wazazi

Yaan kila muda wanajuta

Kuoa ni muhimu nami nikaone kususiwa bure au mpaka ninunue maini ndo ntapewa cc min -me
 
Kuna mwanamke unaweza muoa akiwa shindikanaa ila akiolewa akatulia na mtulivu akabadilika akawa shindindikanaa ndoani
Hapo umeshaoa ila before kuoa kuchagua aloshindikana sio rahisi ukiona hivo hapo ulikuwa kwenye last option au labda sijui ni nn 😀😀

Tunarudi palepale ukitaka kuoa wanawake hakuna yaan shwaa
 
Wakuu mpo salama humu??

Mama yangu anataka nioe tangu mwaka juzi mpaka mwaka huu ila bahati mbaya sijaona mke sahihi wa kuoa, kila nayempata nikiwa naye kwenye mahusiano naona kabisa hawezi kuwa mke, sitaki kuoa kumfurahisha bi mkubwa nataka kuoa niwe na familia imara na ni enjoy kuwa na mke na familia, nina miaka 37 sasa nipo tayari kuoa ila wa kumuoa sina kabisa.

Nawaza niende vijijini nikajaribu kuchukua bint ambaye bado hajawa na mambo mengi mwenye nidham na mrembo ila bahati mbaya nimeishi hapa dar miaka yangu yote sijui popote na hata wanakopatikana ma binti wanaofaa kuwa mke.

Msaada kwa anayeweza kunisaidia kwa njia yoyote baad ya kusoma maelezo yangu, nafanya kazi + biashara hivyo naweza kumudu ndoa na familia bila hofu yoyote.

Mkristo.
"Nawaza niende vijijini"
Bro huko bush hakuna ma fala now days utaauziwa mbuzi kwa gunia.
 
Katika vitu sitaki pressure ni suala la kuoa

Mzee Juzi alinambia oa ukiwa tyr ndani yako na sio jamii....


Agemates walionizunguka wengi watoto wapo kwa bibi, wengine kwa dada wengine kwa mama zao wengine washaachana mbele ya wazazi

Yaan kila muda wanajuta

Kuoa ni muhimu nami nikaone kususiwa bure au mpaka ninunue maini ndo ntapewa cc min -me
Kupewa nini sasa 😂
kuna kipande kinaitwa mfereji wa hormuz ndoani kipo hiko😂😂😂
 
Ni kweli kabisa ila kwenye kulinganisha na pesa , sioni kama kuna faa labda useme hizi pesa za kula, kuvaa na kumiliki ka kibanda😅
naweza kukubaliana na ninyi nyote inatokana na aina ya utongozaji wako na aina ya wanawake unao watongoza
 
Ukitaka kuoa usiasasambue mambo kwa kina yatakushinda from experience kuna mtu alitaka kunichumbia ila tulikuwa hatuelewani mm A yeye B na hakuna anaetafuta amani

Mwisho nikashuka nikaanza kukaa sawa yeye ikawa point sifai kuwa mke sabbu huko mwanzo sikuwa hiv sikuwa vile kuna jamaa kachoose vichache zikafika 70 hizi 30 za hasira sijui na nn anazimanage kiume kaoa maisha yanaenda huyu A anatafuta wa kuoa mitandaon sasa hivi anatamni siku zirudi nyuma

So jua kuweka sautiyako sawa hakuna mkamilifu hata wew hujakamilika
kweli hakuna mkamilifu ila kuna mapungufu ambayo ni ngumu kidogo kuvumilia au yanaweza kukufanya usifurahie ndoa yako bahati mbaya wadada wengi wanayo siku hizi nadhani sababu ya nature ya maisha (hapa sizungumzii pesa)
 
kweli hakuna mkamilifu ila kuna mapungufu ambayo ni ngumu kidogo kuvumilia au yanaweza kukufanya usifurahie ndoa yako bahati mbaya wadada wengi wanayo siku hizi nadhani sababu ya nature ya maisha (hapa sizungumzii pesa)
Kama yapi?
 
Unamaanisha nini
Huwezi sema unatafuta mke/mume hao unakutana nao kwenye mitikasi tu ya kimaisha.

Hutakiwi kutafuta mke wakati unataka kuoa, ikifika muda wa kuoa inatakiwa uangalie tu watchlist yako useme hapa nakula kiapo na flan nje na hapo ndo kama hayo ya mtoa mada pressure inakua kubwa huoni unayeendana nae mwisho wa siku unaangukia kwa hawa watumiaji wa halotel kila wiki laini mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom