Kuchwizzy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 1,204
- 2,640
Kumbe huu ndo utabiri wenyewe?
Basi ni coincidence tu,kwa sababu hajatabiri kama watu wanavyoamini
Cheki hio "story" ya watu kwenda kwa "waganga" na Rais kubemba "mission ya Mungu iwe mbaya au nzuri" na baadae anakwambia "Hawatoweza kwasababu Mungu kampa Mission yake Mheshimiwa Rais"
So hapo ana kana utabiri wake kwa kusema kuwa "hawatofanikiwa kumuondoa" kwa sababu Mungu "kampa kazi yake"
Imetokea tu Rais JPM kaondoka kipindi hichi,sidhani kama ina chochote cha kufanya na Mambo ya kiroho