Mama Samia Suluhu Hassan alindwe Afya yake

Mama Samia Suluhu Hassan alindwe Afya yake

Corona inawaathiri zaidi watu wenye magonjwa ya moyo, kisukari, HIV, wazee, watu ambao kinga za miiki yao ni dhaifu. Kwa mazingira ambayo Rais Magufuli alizoea kuendana nayo ni dhahiri kwamba nafasi ya kuambukizwa corona kwake ilikuwa ni kubwa sana, alijiexpose mno bila kuvaa barakoa nk, akisisitiza tumtegemee Mungu nayeye akaonyesha mfano wa kumtegemea Mungu kupambana na corona bila kuvaa barakoa kwenye mijumuiko, ni kitendo kibaya na cha hatari.
Hizo zote ni stori tu. Umethibisha?
Inakuwaje unamwamini mtaalamu lakini Mungu aliyemuumba mwana sayansi humwani?

Ponder this.
 
Mi shoga ila mzima siku hii naiona ila Basha wako anatembezwa mitaani kama nyama pori Kibudu. Hiyo ndio aliyekuwa anakuingizia nyama nyuma soma hiyoooooooo
ajabu basha wa kwangu anatembezwa mtaani,kitundu kinakupwita wewe.

kitulize bana.
 
Huyu mama hajui umuhimu wa barakoa. Na hastuki.
Meko kaondoka.
John kijaZ kaondoka.

Hashtuki tu. Ana akili za watu huyu mama na ana miaka 61?
 
Hizo zote ni stori tu. Umethibisha?
Inakuwaje unamwamini mtaalamu lakini Mungu aliyemuumba mwana sayansi humwani?

Ponder this.


Inakuaje unamuamini Mungu lakini huamini akili na uwezo aliokupa huyo Mungu??!!
 
Inakuaje unamuamini Mungu lakini huamini akili na uwezo aliokupa huyo Mungu??!!
“Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.” — rom 1:28 (SUV)
 
ajabu basha wa kwangu anatembezwa mtaani,kitundu kinakupwita wewe.

kitulize bana.
Mbwa mfu. Hamna jipya mmepigwa dole la ikweta kwenye kitundu...tutoleeni harufu mbovu kwenye eneo letu takatifu makafiri na madikteta uchwara nyie. Njoo nikuhifadhi maana mimi Ni shababi kuliko hiyo takataka yako unayo hangaika nayo. Unawashwa washwa wakati gunzi ninalo njoo nikukune. Choks we
 
Mbwa mfu. Hamna jipya mmepigwa dole la ikweta kwenye kitundu...tutoleeni harufu mbovu kwenye eneo letu takatifu makafiri na madikteta uchwara nyie. Njoo nikuhifadhi maana mimi Ni shababi kuliko hiyo takataka yako unayo hangaika nayo. Unawashwa washwa wakati gunzi ninalo njoo nikukune. Choks we
sasa wewe shababi gani mpaka useme!!!!

mashababi huwa hawatumii nguvu kujieleza.mnashindwa kuwakaza watoto vizuri wanaugua ugonjwa wa stress maria na fatuma,unakuja kuparamia wanaume!!!!utabakwa utumbo utoke.

magu amekwenda,ila haina uhusiano na nyinyi kuacha kunyanduliwa,haina uhusiano kabisa.
tutawaf.ra,kwa rafudhi ya kikurya.
 
Mimi naamini kwamba Corona ipo Bongo na Magufuli kafariki kwa Corona juu ya kwamba alikuwa na matatizo ya moyo lakini ni Corona ilipandia hapo kwenye ugonjwa wa moyo.
Punguza sauti
 
Binafsi napenda tufanye uchaguzi tena, SSH amejikuta tu kasukumiziwa Ikulu kwa nguvu ya katiba hakuwa chaguo la watz....hivyo msimlazimishe kumvalisha barakoa kama hataki aachwe tafadhali.
Mkuu lengo ni kuwa yeye akivaa Wananchi wengi watamuiga na wengine wataona kama ni fashion
 
Mbaya zaidi wale wanaosema alimtanguliza Mungu mbele.

Hakuna mtu anaemtanguliza Mungu mbele huku akiua watu, kubambikia watu makesi na kuamuru watu wapigwe risasi. Hakuna.
Watu wamejaa unafiki mno, wewe waone hivyo hivyo
 
Mwambie pia na sisi watumishi wa umma tunamchora tu! [emoji849] Akiendekeza itikadi za mtangulizi wake za kutumia hela zetu za kupandishwa madaraja kununulia bombardier, basi ajue na yeye tutamuandama na kumlaani mpaka kifo.

Ni mwaka wa sita huu tunaishi kwa mishahara na madaraja yale yale! Jambo ambalo ni la kichokozi, dhuluma na lililo jaa uonevu usio pimika!
Mkuu umeenda mbali sana Mama asilaaniwe wajameni
 
Mama anakubaliana na team ya mtangulia, "Heri mdudu atuue kuliko kwenda tofauti na mtangulia".
Nimefikiria sana huu ukaidi wa kiwango cha kupoteza uhai, mwisho nimejiaminisha "labda Mungu kaamua kuingilia kati kwa kuwatia ukaidi ili atusaidie kuondoa kikundi fulani hapa nchini"
 
We are still celebrating demise na kuondoka kwa dictator japo silently as police are raiding on us kutushika.

Jana ninekunywa na kuwanywesha jamaa zangu sana bia kwa furaha, bia zilikuwa zaidi na utamu kutokana na furaha ya mauti ya dictator.

Dictator should go to hell.
Mtu amejificha chin ya ulimi wake, hata yesu aliwaambia Tajiri kukuona ufalme wambingun nisawa na ngamia kupenya kwenye tundu lasindano, baada ya pale Walimfanya nn?
 
Mbaya zaidi wale wanaosema alimtanguliza Mungu mbele.

Hakuna mtu anaemtanguliza Mungu mbele huku akiua watu, kubambikia watu makesi na kuamuru watu wapigwe risasi. Hakuna.
Rais nitaasisi kubwa San swala lakuua au kutoka mauaji kwaajili ya uslama wataasisi yake nijambo lakwaida San haiwez kumuondolea uungwana wake nautu wake
 
Back
Top Bottom