Mama Samia Suluhu Hassan alindwe Afya yake

Mama Samia Suluhu Hassan alindwe Afya yake

Nenda kafukie hiyo trush yako shoga we
mashoga na chama chenu mnatamani azikwe haraka,lakini sisi na wananchi tuna jambo letu kwanza.

hivyo basi kama mnaumia sana kwenye matobo huko nyuma,kajitieni vidole.

wenzako wameamua kunywa pombe ili kukata aibu,wewe kakalie chupa za pombe uende nao sawa.
 
Mimi siwezi kuamini na wala sotokuja kuamini, kama ni hivyo angeondoka mwaka jana wakati Corona inaingia. Hiyo imechukuliwa kama sababu tu, nenda kasikilize unabii unasemaje
Endelea kutoamini, hata yeye alikuwa haamini, ila imemwondoa. Corona ikimkuta mtu mwenye afya ya shida inapiga kambi hapo. Ile clip inayowaonyesha watu wanne akiwemo marehemu wetu, jiulize kwanini hawakufa mwka 2020 kama unavyosema.
 
PIA NAONGEZEA,
Aruhusu makongamano ili tuanze kupiga pesa ahsas sis wafanyakazi wa serikali
Pia alegeze amsharti ya Biahsara ya Madawa ya kulevya kwani ile biashara inaleta pesa na uwekezaji nchi hivyo kutoa ajira, hatusemi utanagze rasmi ila pita kimya kimya
Achana na Bomba la Mafuta la Uganda kwani litasabaisha uwekeze hera kuchangia kujenga Bomba wakati sisi hatutaki tena maendeleo ya vitu
Achana na Madaraja makubwa na ujenzi wa Meri na Bwawa la umeme, badala yake waachie private sector wajenge ili sisi tutunue huduma zao


Amani iwe nanyi.

Naona kuna upuuzi washauri na wasaidizi wa Rais wetu mama yetu Samia Hassan Suluhu wanataka kuufanya kwa mama yetu, nao ni kumuweka kwenye risk ya kupata maambukizi ya ugonjwa huu hatari wa corona. Hawampi barakoa na pia wanamuacha ashikane mikono na watu. Nasema hapana.

Sote tumeona jinsi gani corona ilivyopiga top layer ya Magufuli kutokana na watu kujitoa tu ufahamu na kupuuzia tahadhari za msingi na kitaalamu. Hata Kama Magufuli alikuwa na Tatizo la moyo, naweza sema kuna uwezekano mkubwa kuwa infection ya corona imechangia sana kupelekea kupatwa na Tatizo lililompata kutokana na kuleta complications kwenye mfumo wake wa umeme wa moyo.

Ni wakati sasa Mama yetu alindwe afya yake Kwa sababu nae ni mtu mzima (above 60). Apewe barakoa kwenye mikusanyiko na asiruhusiwe kushikana au kusogeleana na mtu. Walinzi wake nao wawekewe utaratibu maalumu wa kuepuka kupata maambukizi ili wasimuambukize.

Mwisho nitoe pongezi za dhati Kwa Rais wetu wa sita, Mama Samia Suluhu Hassan. Kwa kifupi ushauri wangu kwako kwenye maeneo ya kubadirisha na kurekebisha

1. Endelea kuanzia pale alipoishia JK kwenye uwekezaji na biashara. Wawekezaji na uwekezaji ndo vipewe kipaumbele cha kwanza kwenye sera zako za uchumi. Kamwe usiruhusu wawekezaji wapate madhira na unyanyasi waliopata kipindi cha msaidizi wako

2. Rekebisha sekta ya utoaji Haki. Ondoa unyanyasi mkubwa uliogubika sekta hii kwenye utawala wa Mtangulizi wako. Waliohusika watoe wote na weka wapya wenye mawazo na mlengo wa kuhudumia watu kwa haki na wala sio kwa uonevu.

3. Kwenye mipango miji na ardhi. Wekeza sana kwenye upimaji wa ardhi na mipango miji. Rekebisha uchafu ulioenea kwenye miji yetu. Wamachinga wasinyanyaswe ila wawekwe kwenye maeneo yenye mzunguko wa watu na kuwekekewa mazingira mazuri ya biashara huko.

4. Ondoa tatizo kubwa la ukabila na ukanda lililokuwa limeifunika nchi. Najua wajua kuwa kuna watu walishajimililisha hii nchi.

5. Miradi ya Umeme ( Stigglers) na Treni(SGR) imalizie Ila hakikisha mradi mkubwa wa Kiuchumi wa Bandari ya Bagamoyo unaanza maana hii ndo itakuwa mlango wa Tanzania kutoka kiuchumi.

6. kwenye ulinzi na usalama hatujawai kuyumba hapo tupo vizuri ila ondoa wanasiasa kuvitumia vikosi vyetu vya ulinzi na usalama kwa maslahi yao.

7. Usiruhusu Biashara yeyote kufungwa Kwa sababu ya madai ya kodi. Iboreshe na kuifumua positively TRA. Wajikite kuwa taasisi rafiki na wafanyabiashara na wala sio kikwazo cha biashara na uwekezaji. Pia taasisi nyingine za serikali zinazohusika na biashara na wafanyabiashara wapewe maelekezo kuwa sasa rasmi wawe wafanikishaji no 1 wa biashara na uwekeaji ili kutengeneza ajira nyingi kwa vijana wetu


8. Kwenye nishati na madini boresha zaidi na ondoa mkanganyiko na misuguano na wawekezaji. Sheria tulizotunga mwaka 2017 sio mbaya ila ifanywe harmonization kuepuka migogoro na makesi na wawekezaji. Ongeza uwazi zaidi kwenye sekta hii na hakikisha miradi mikubwa ya gesi inaanza

9. Mahusiano ya Kimataifa. Hapa mtangulizi I wako aliharibu sana. Boresha sana eneo hili wala usiliache nyuma. Hapa unaweza pata hela nyingi na ukazifanyia mambo makubwa sana kwa usimamizi mzuri utakaouweka.

10. Weka uhuru wa vyombo vya habari na raia kwenye kutoa maoni. TCRA wajikite kuboresha biashara ya mawasiliano na telnolojia na wasiwe chombo cha kufikisha watu mahakamani na kunyima watu uhuru wao wa mawazo. Wawe regulatory authority.

Kila la kheri Mama.
 
Mimi naamini kwamba Corona ipo Bongo na Magufuli kafariki kwa Corona juu ya kwamba alikuwa na matatizo ya moyo lakini ni Corona ilipandia hapo kwenye ugonjwa wa moyo.
Una Autopsy report?
 
Mbona Kijazi hakuondoka mwaka jana, vipi Maalim Seif. Acha kuipangia Corona wewe vaa barakoa hutaki subiri zamu yako
Theory ni nyingi, kwanini mnalazimisha ile inayokidhi kiu yenu tu?

Ushindi haulazimishwi, unapatikana kwa kushindanisha na kwenye hili, hoja za wenye uelewa zinazojikita kwenye uhalisia na si mihemko na ujuaji unaoelea.

Amepona Mpango kwa juhudi za serikali ambayo ingemjali Waziri na kumuacha Raisi sio?
 
Hayati Magufuli kaondolewa na Covid19 aliipuuza Pandemic hatari kabisa kuwahi kutokea since 1918 Spanish flu

Akaingiza siasa kwenye Pandemic hao wanaosema Hayati Magufuli kuuwawa na Wachawi wanasema uongo

Sasa wakati umefika wa kuagiza chanjo HARAKA kwa jinsi watu wanavyosongamana wakati wa kuomboleza bila Barakoa wiki chache zijazo hali itakuwa MBAYA MBAYA kwelikweli

Mama Samia VAA BARAKOA!
Unashindwa hata kujua nani ni mwanataaluma na nani ni mwana usalama, kila mtu mjuaji, postmortem imefanyika?

Ni bora kusema ni tetesi kuliko kuhakikisha based on rumours.

Marathon imefanyika kule, mmeongea, sijui mmeishia wapi! Au mtupe maendoleo mapya ya kirusi kuwa sasa kinaweza kukuacha hata mwaka au wale wote wana kinga kubwa mno.

Vipi tukisema syndicate ilibidi ku-sacrifice wengi na waliomzunguka ili ku-justify mwisho wake kwa kuipakazia RONA? Yes, so ni obvious inaambukizwa kwa hewa, na walioondoka ndio wa karibu yake, hivyo ninyi mlioteuliwa kuamini hilo iwawie rahisi ku-propagate hivyo?

Pengine mngejenga hoja yenu vizuri, tukaona jinsi gani Mama Janeth alivyokuwa mbali na mumewe kiasi cha yeye kusalimika, waliomuuguza n.k Kwanini wawe ni high ranking Gov officials kwanza kabla yake.

Kwanini Ben? Nani amebaki na sauti ya kimamlaka kwa sasa, chamani na serikalini? Pengine ni wakati gani ambao taifa na wananchi walihisi Ben ana nguvu na ushawishi?
 
Una Autopsy report?


Corona inawaathiri zaidi watu wenye magonjwa ya moyo, kisukari, HIV, wazee, watu ambao kinga za miiki yao ni dhaifu. Kwa mazingira ambayo Rais Magufuli alizoea kuendana nayo ni dhahiri kwamba nafasi ya kuambukizwa corona kwake ilikuwa ni kubwa sana, alijiexpose mno bila kuvaa barakoa nk, akisisitiza tumtegemee Mungu nayeye akaonyesha mfano wa kumtegemea Mungu kupambana na corona bila kuvaa barakoa kwenye mijumuiko, ni kitendo kibaya na cha hatari.
 
Corona inawaathiri zaidi watu wenye magonjwa ya moyo, kisukari, HIV, wazee, watu ambao kinga za miiki yao ni dhaifu. Kwa mazingira ambayo Rais Magufuli alizoea kuendana nayo ni dhahiri kwamba nafasi ya kuambukizwa corona kwake ilikuwa ni kubwa sana, alijiexpose mno bila kuvaa barakoa nk, akisisitiza tumtegemee Mungu nayeye akaonyesha mfano wa kumtegemea Mungu kupambana na corona bila kuvaa barakoa kwenye mijumuiko, ni kitendo kibaya na cha hatari.
Ndo report hii inayokufanya uwe na conclusive opinions?

Tukiomba uchenjue kidonge kimojawapo na utueleze kama mchanganyiko uliosemwa na watengenezaji ndivyo ulivyo utaweza? Tunazo maabara na wataalamu wa kuhakiki vitu kama hivyo in a very neutral ground na kutupa conclusive evidence bila kurejea huko huko vinakotoka?

Uliyoyaeleza si kwa utashi wako, ni vile ulivyoambiwa na wewe huna jinsi ya kudhibitisha hilo kisayansi.

Kudhani wewe usie na jinsi yoyote ya kuthibitisha madai yako isipokuwa kwa kusikia na kuotea, kwamba uko well informed kuliko mwenye mamlaka na intelligence units za kumjuza yanayoendelea duniani na kumtaka afanyie maamuzi taarifa hizo, ni jambo la kushangaza sana.

Eti thesis yake ni copy and paste, kwanini tusiishirikishe jamii ya kimataifa na hasa UK kutuambia kama alifeli au kufaulu masters yake pale UK? Angalau hapo tu, ili kama UK walihusika na kumuuzia hiyo degree tuwalaumu wao, kwanini tusikilaumu chuo chetu bora cha UD kwa kumzawadia PhD ya uongo kama mnavyosema?

Kwanini asiulizwe hata Christopher Kadio aliyefanya nae kazi maabara ili aseme anachojua kuhusu yeye?

Umewahi tembelea maeneo ya viwanda vinavyoongozwa na wahindi, nenda kaangalie kule kisha uje hapa useme watu wanakufa kwa Corona kwakuwa hawavai barakoa, au kwamba hakuna wazee na hao wenye magonjwa taja?
 
Mwambie pia na sisi watumishi wa umma tunamchora tu! [emoji849] Akiendekeza itikadi za mtangulizi wake za kutumia hela zetu za kupandishwa madaraja kununulia bombardier, basi ajue na yeye tutamuandama na kumlaani mpaka kifo.

Ni mwaka wa sita huu tunaishi kwa mishahara na madaraja yale yale! Jambo ambalo ni la kichokozi, dhuluma na lililo jaa uonevu usio pimika!
Kunyweni mtori nyama ziko chini.

Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe nanyi.

Naona kuna upuuzi washauri na wasaidizi wa Rais wetu mama yetu Samia Hassan Suluhu wanataka kuufanya kwa mama yetu, nao ni kumuweka kwenye risk ya kupata maambukizi ya ugonjwa huu hatari wa corona. Hawampi barakoa na pia wanamuacha ashikane mikono na watu. Nasema hapana.

Sote tumeona jinsi gani corona ilivyopiga top layer ya Magufuli kutokana na watu kujitoa tu ufahamu na kupuuzia tahadhari za msingi na kitaalamu. Hata Kama Magufuli alikuwa na Tatizo la moyo, naweza sema kuna uwezekano mkubwa kuwa infection ya corona imechangia sana kupelekea kupatwa na Tatizo lililompata kutokana na kuleta complications kwenye mfumo wake wa umeme wa moyo.

Ni wakati sasa Mama yetu alindwe afya yake Kwa sababu nae ni mtu mzima (above 60). Apewe barakoa kwenye mikusanyiko na asiruhusiwe kushikana au kusogeleana na mtu. Walinzi wake nao wawekewe utaratibu maalumu wa kuepuka kupata maambukizi ili wasimuambukize.

Mwisho nitoe pongezi za dhati Kwa Rais wetu wa sita, Mama Samia Suluhu Hassan. Kwa kifupi ushauri wangu kwako kwenye maeneo ya kubadirisha na kurekebisha

1. Endelea kuanzia pale alipoishia JK kwenye uwekezaji na biashara. Wawekezaji na uwekezaji ndo vipewe kipaumbele cha kwanza kwenye sera zako za uchumi. Kamwe usiruhusu wawekezaji wapate madhira na unyanyasi waliopata kipindi cha msaidizi wako

2. Rekebisha sekta ya utoaji Haki. Ondoa unyanyasi mkubwa uliogubika sekta hii kwenye utawala wa Mtangulizi wako. Waliohusika watoe wote na weka wapya wenye mawazo na mlengo wa kuhudumia watu kwa haki na wala sio kwa uonevu.

3. Kwenye mipango miji na ardhi. Wekeza sana kwenye upimaji wa ardhi na mipango miji. Rekebisha uchafu ulioenea kwenye miji yetu. Wamachinga wasinyanyaswe ila wawekwe kwenye maeneo yenye mzunguko wa watu na kuwekekewa mazingira mazuri ya biashara huko.

4. Ondoa tatizo kubwa la ukabila na ukanda lililokuwa limeifunika nchi. Najua wajua kuwa kuna watu walishajimililisha hii nchi.

5. Miradi ya Umeme ( Stigglers) na Treni(SGR) imalizie Ila hakikisha mradi mkubwa wa Kiuchumi wa Bandari ya Bagamoyo unaanza maana hii ndo itakuwa mlango wa Tanzania kutoka kiuchumi.

6. kwenye ulinzi na usalama hatujawai kuyumba hapo tupo vizuri ila ondoa wanasiasa kuvitumia vikosi vyetu vya ulinzi na usalama kwa maslahi yao.

7. Usiruhusu Biashara yeyote kufungwa Kwa sababu ya madai ya kodi. Iboreshe na kuifumua positively TRA. Wajikite kuwa taasisi rafiki na wafanyabiashara na wala sio kikwazo cha biashara na uwekezaji. Pia taasisi nyingine za serikali zinazohusika na biashara na wafanyabiashara wapewe maelekezo kuwa sasa rasmi wawe wafanikishaji no 1 wa biashara na uwekeaji ili kutengeneza ajira nyingi kwa vijana wetu


8. Kwenye nishati na madini boresha zaidi na ondoa mkanganyiko na misuguano na wawekezaji. Sheria tulizotunga mwaka 2017 sio mbaya ila ifanywe harmonization kuepuka migogoro na makesi na wawekezaji. Ongeza uwazi zaidi kwenye sekta hii na hakikisha miradi mikubwa ya gesi inaanza

9. Mahusiano ya Kimataifa. Hapa mtangulizi I wako aliharibu sana. Boresha sana eneo hili wala usiliache nyuma. Hapa unaweza pata hela nyingi na ukazifanyia mambo makubwa sana kwa usimamizi mzuri utakaouweka.

10. Weka uhuru wa vyombo vya habari na raia kwenye kutoa maoni. TCRA wajikite kuboresha biashara ya mawasiliano na telnolojia na wasiwe chombo cha kufikisha watu mahakamani na kunyima watu uhuru wao wa mawazo. Wawe regulatory authority.

Kila la kheri Mama.
Ni mawazo yako na wewe, umesikika
 
mashoga na chama chenu mnatamani azikwe haraka,lakini sisi na wananchi tuna jambo letu kwanza.

hivyo basi kama mnaumia sana kwenye matobo huko nyuma,kajitieni vidole.

wenzako wameamua kunywa pombe ili kukata aibu,wewe kakalie chupa za pombe uende nao sawa.
Mshatiwa kidole nyuma nyie takataka lenu lililojifanya limewaumba linawekwa mabunzi tu muda huu. Choko wakubwa nyie mlidhani CoviD mchezo. Imewagonga mbele imewagonga nyuma imegonga na muumba wenu. Chekeni na hiyo package kwanza naskia kuna bwabwa jingine lishakata Moto mahali. Top layer ya maharage yenu imefutwa fasta Mungu wa kweli. Nguruwe nyie
 
Acha unafiki haya mambo yote yanayotokea mimi siwezi kuyaamini na wala sitokuja kuamini eti ni corona, kawadanganye wengine, nenda youtube huko kajiangalizie unabii.
Wanadanganyana eti Corona. Kanumba alikufa wanasema eti Lulu ameua, rais wetu kafa wanasingizia Corona

Time will tell. Malipo hapahapa duniani!
 
Mlinzi wa kwanza wa Afya yake ni yeye mwenyewe... Sa kama Madame SSH mwenyewe hajiongezi hata wamlinde na mavifaa mengi mengi kama kipindi cha JPM ni kazi buree.
Mwambieni ukweli...
Kisayansi viruses wapo... Madaktari na wataalamu wa afya tunao!
Na WHO ni shirika la kimataifa...
So miongozo ya kisayansi ifuatwe...
Tuheshimu taaluma za watu...!!
Comment za watu wenye hofu unaziona tu.
 
Mshatiwa kidole nyuma nyie takataka lenu lililojifanya limewaumba linawekwa mabunzi tu muda huu. Choko wakubwa nyie mlidhani CoviD mchezo. Imewagonga mbele imewagonga nyuma imegonga na muumba wenu. Chekeni na hiyo package kwanza naskia kuna bwabwa jingine lishakata Moto mahali. Top layer ya maharage yenu imefutwa fasta Mungu wa kweli. Nguruwe nyie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hasira zote hizi kama shoga limeporwa mume.

kafie mtaroni shoga mzee weee.
 
Mama yako kavaa barakoa leo?na kama hataki je yeye mwenyewe kuvaa unamlazimisha ww km nani?baba ako kavaa barakoa leo?waTz tuacheni ujuaji,haitatusaidia.F.uck u Pussy
 
We are still celebrating demise na kuondoka kwa dictator japo silently as police are raiding on us kutushika.

Jana ninekunywa na kuwanywesha jamaa zangu sana bia kwa furaha, bia zilikuwa zaidi na utamu kutokana na furaha ya mauti ya dictator.

Dictator should go to hell.
Siku ukienda hell hutamkuta JPM. He did the so called perfect will.

Tatizo democracy zimeharibu fahamu za watu. God has no democracy at all God has Theocracy only na hii ndo Magufuli style, Theocracy sasa watu wa democrasia (devil worshippers) walijaribu sana kumtaka The late aache Theocracy afutae democracy. Na kama angefanya hayo basi asingefanya alichotakiwa kufanya.

Only weak people ndo inafaa democracy.

I am sorry for this najua sitaeleweka na wengi.
 
Back
Top Bottom