andishile
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,429
- 522
Habar wa mmu.......aiseee nahitaji mnikumbuke katika maombi,mama yangu ni mgonjwa na hatujui tufanye nini maana hospital ugonjwa hauonekani.Alichomwa na kitu mguuni wik 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.Kapimwa magonjwa mengi lakin hamna kitu......leo roho imeniuma coz mguu umeanza kutoa harufu na tena ukijan umeanza.
Naumia sana....nahitaji maombi yenu anaitwa Vicky
pole sana.dalilli hizi ni km za mama yangu alichomwa na kit ambacho hatukujua ni nini akapata km unavyosema.tukaenda Hosp kumbe ana kisukari.muwahisheni haraka Hosp na atapona .ila sisi mama yeti tulimpa pia dawa za asili sio dhambi maana tumeambiwa ktk dini miti na matunda ni dawa.sukari yake ilikuwa zaidi ya ishirini salsa hivi iko normal kabisaa. bila Ku control sukari kidonda inakuwa vigumu kupona.mzizimkavu pls msaidie miss strong. usisahau pia kumpeleka ktk maombi