miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Habar wa MMU.......aiseee nahitaji mnikumbuke katika maombi,mama yangu ni mgonjwa na hatujui tufanye nini maana hospital ugonjwa hauonekani.
Alichomwa na kitu mguuni wiki 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.
Kapimwa magonjwa mengi lakini hamna kitu......leo roho imeniuma sababu mguu umeanza kutoa harufu na tena ukijan umeanza.
Naumia sana....nahitaji maombi yenu anaitwa Vicky
Nashukuru kwa maombi na ushauri wenu.....hali ya mama bado haijatengamaa,amelazwa muhimbili kibasila!!
Endeleeni kutuombea jamani
Alichomwa na kitu mguuni wiki 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.
Kapimwa magonjwa mengi lakini hamna kitu......leo roho imeniuma sababu mguu umeanza kutoa harufu na tena ukijan umeanza.
Naumia sana....nahitaji maombi yenu anaitwa Vicky
Nashukuru kwa maombi na ushauri wenu.....hali ya mama bado haijatengamaa,amelazwa muhimbili kibasila!!
Endeleeni kutuombea jamani