Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Hahaaaaa! (Its not a lauhjing matter) Yuda Tadei jst incase umedhani ni Yuda Escariot. Lol. Wewe si unataka maombi? Basi tulia. Hii sala mwisho wa matatizo na ubishi ikienda hairudi hivi hivi.
Kuna mtu ogidini kwao maboss tu ndo walitakiwa waende kwa madiba refresher course. Yeye ni juniou senior flani, akasali hii sala potelea pote aende yeye na si bosi wake. Amini usiamini Mkurugrenzi alimrecomend kama utani na kukomalia anatska aende huyo mdau si bosi. Bosi kavimba wee, kabana kaachia. Keshajirefresh ndo karudi siku si nyingi. CHEZEA SALA YA MIUJIZA WEYE!?
Mwenzenu silali mie......
Pliz niambie ni wapi....wakuu.Siwezi kulala jinsi navyoumia!!!Yaan leo karudi toka kwa dada yake yaan mama mkubwa ndo nimezidi kuumizwa nilivyouona mguu.
pole miss strong unapokuwa mbele ya mgonjwa usionyeshe kuchanganyikiwa na kukata tamaa
ni vizuri kumpa moyo na faraja kuwa atapona
Habar wa mmu.......aiseee nahitaji mnikumbuke katika maombi,mama yangu ni mgonjwa na hatujui tufanye nini maana hospital ugonjwa hauonekani.Alichomwa na kitu mguuni wik 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.Kapimwa magonjwa mengi lakin hamna kitu......leo roho imeniuma coz mguu umeanza kutoa harufu na tena ukijan umeanza.
Naumia sana....nahitaji maombi yenu anaitwa Vicky
Pole sana miss strong,,tunamuombea mama yetu,Pamoja na kwenda kwenye maombi lakini hakikisha unampeleka hospital kupima diabetes.Kuwa na moyo jasiri kama lilivyo jina lako #Strong .Husikatishwe tamaa na wala husiwe na mawazo mengine tofauti kwa kuwa ugonjwa haujaonekana!Woga na wasiwasi ni vikwazo vya kufanikiwa.Mpe moyo mama yetu,kwamba anaenda kupona na Mungu anaweza yote!