Mama ni mgonjwa

Mama ni mgonjwa

Hahaaaaa! (Its not a lauhjing matter) Yuda Tadei jst incase umedhani ni Yuda Escariot. Lol. Wewe si unataka maombi? Basi tulia. Hii sala mwisho wa matatizo na ubishi ikienda hairudi hivi hivi.

Kuna mtu ogidini kwao maboss tu ndo walitakiwa waende kwa madiba refresher course. Yeye ni juniou senior flani, akasali hii sala potelea pote aende yeye na si bosi wake. Amini usiamini Mkurugrenzi alimrecomend kama utani na kukomalia anatska aende huyo mdau si bosi. Bosi kavimba wee, kabana kaachia. Keshajirefresh ndo karudi siku si nyingi. CHEZEA SALA YA MIUJIZA WEYE!?

SALA YA YUDA -MPENDWA NIOMBEE Na MIMI PIA
 
Pole sana kwa kuuguza ,inshaallah Allah atamjaalia atapona
 
Pole sana Mungu atamsaidia atapona inshaallah
 
Poleni sana Mungu ni mwema atamponya. Kama mkuu mmoja alivyosema hapo juu kwamba yaweza kuwa kisukari, kawaida wagonjwa wa kisukari vidonda huwa vinawasumbua sana, huchelewa kupona na mara nyingi huongezeka ukubwa. Apime kisukari
 
Huenda hicho kitu kilichomchoma kilikuwa na sumu au mate ya nyoka mwenye sumu. Ila maombi kwa sasa ndo jambo muhimu. Babu yangu aliwahi kuchomwa na kibanzi na kupata hilo tatizo ila alipona na hospital walikuja kugundua ni aina ya sumu inayopatikana kwa nyoka.
 
pole miss strong unapokuwa mbele ya mgonjwa usionyeshe kuchanganyikiwa na kukata tamaa
ni vizuri kumpa moyo na faraja kuwa atapona
 
Last edited by a moderator:
Pole sana miss strong Mungu awe nae ktk kipindi hiki kigumu, na Mungu hamtupi kiumbe wake ninaimani hali ya mama atapona na kurudia hali yake ya zamani.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana miss strong,,tunamuombea mama yetu,Pamoja na kwenda kwenye maombi lakini hakikisha unampeleka hospital kupima diabetes.Kuwa na moyo jasiri kama lilivyo jina lako #Strong .Husikatishwe tamaa na wala husiwe na mawazo mengine tofauti kwa kuwa ugonjwa haujaonekana!Woga na wasiwasi ni vikwazo vya kufanikiwa.Mpe moyo mama yetu,kwamba anaenda kupona na Mungu anaweza yote!
 
Last edited by a moderator:
Pliz niambie ni wapi....wakuu.Siwezi kulala jinsi navyoumia!!!Yaan leo karudi toka kwa dada yake yaan mama mkubwa ndo nimezidi kuumizwa nilivyouona mguu.

Poleni sana, kamcheki zaidi labda ana tatizo la sukari..
 
Pole sana kwa kuuguza mama yetu miss strong MUNGU ni mponyaji wa kila gonjwa.amini atapona
 
Last edited by a moderator:
Habar wa mmu.......aiseee nahitaji mnikumbuke katika maombi,mama yangu ni mgonjwa na hatujui tufanye nini maana hospital ugonjwa hauonekani.Alichomwa na kitu mguuni wik 5 zilizopita ikaota kama kipele then lengelenge na baadae mguu wote ukawa umepata vidonda.Kapimwa magonjwa mengi lakin hamna kitu......leo roho imeniuma coz mguu umeanza kutoa harufu na tena ukijan umeanza.
Naumia sana....nahitaji maombi yenu anaitwa Vicky

sorry kama nitakukwaza .
nimesoma habari ya ugonjwa WA mama yako nimemkumbuka hayati MAMA ALFONSO mwenyezi mungu amuweke mahari pema peponi.

huyo mama nae alijikwaruza kwenye mguu kukawa nakijidonda kidogo sana kuasi kwamba hata hospital unaona kabisa haifai kwenda .ilachaajabu siku zinavyozidi kwenda hali ina change na kuwatete .baadae ukawa mguu mzima akalazwa lugalo alichelewa ulikuwa umefika kwenye hali mbaya mbali na mguu alikuwa na kisukari.
lugalo wakamwambia wamkate mguu chini kabisa makanyagio yy akakataa basi akapewa dawa akarudi nyumbani kila siku hali INa change mguu wote ukaharibika kabisa mpaka ukafikia kwenye paja kiukweli alikuwa anatisha sana .
mpaka alifariki kimasihara masihara.

plz plz plz plz plz Dada yangu msichukulie powa hilo tatizo tafuteni wataalam ikuwezekana mpimeni kisukari mkifanya mzaa mnampoteza mama yenu.
 
Pole sana miss strong,,tunamuombea mama yetu,Pamoja na kwenda kwenye maombi lakini hakikisha unampeleka hospital kupima diabetes.Kuwa na moyo jasiri kama lilivyo jina lako #Strong .Husikatishwe tamaa na wala husiwe na mawazo mengine tofauti kwa kuwa ugonjwa haujaonekana!Woga na wasiwasi ni vikwazo vya kufanikiwa.Mpe moyo mama yetu,kwamba anaenda kupona na Mungu anaweza yote!

hapo ugonjwa ni kisukari tuu basi??
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mrembo,naelewa maumivu ulokua nayo kwani hakuna kama mama,inshallah mungu atasaidia atapona........
 
Back
Top Bottom