Mama ni mgonjwa

Mama ni mgonjwa

Dah! nilishashuhudia hii kitu kwa mtu wangu wa karibu anijuze aliponea hospital au kwenye tiba asili? maana alitumia zote na akapona, ni kama copy n paste ya tatizo la bi mkubwa wako.
 
amin Mungu ni mwema sana na amin tuko nawe katika maombi mazito kwaajili ya mama jaribu kutumia ushauri wa watu humu ndani usipuuze maana wako nawe kipindi hiki kigumu mama polen sana
 
Hana historia hiyo kwa maana hatujawah kumpima......vipimo kafanya Lugalo
Pole sana.. Ila unavyosema nlijua mmefika hospitali kubwa..mjitahidi basi muende hospitali kubwa kuna vipimo zaidi hasa vya mishipa ya damu ya miguuni dopple ultasound na hata angiogramx .... Unaweza kukuta amepata DVT (periferal arterial desease) maana minor injury kama kuchomwa na kitu inaweza kusababisha ukakuta akipata clopidogel, cumadin( warfarin) na matibabu mengine mambo yanakua mazuri .. Muhimbili wanafanya na pia ni vzr aonane na specialist.. Pole sana try to do the needful miss strong
 
Pole sana.. Ila unavyosema nlijua mmefika hospitali kubwa..mjitahidi basi muende hospitali kubwa kuna vipimo zaidi hasa vya mishipa ya damu ya miguuni dopple ultasound na hata angiogramx .... Unaweza kukuta amepata DVT (periferal arterial desease) maana minor injury kama kuchomwa na kitu inaweza kusababisha ukakuta akipata clopidogel, cumadin( warfarin) na matibabu mengine mambo yanakua mazuri .. Muhimbili wanafanya na pia ni vzr aonane na specialist.. Pole sana try to do the needful miss strong

Nashukuru kwa ushauri Dr.....Mungu akubariki
 
Dah! nilishashuhudia hii kitu kwa mtu wangu wa karibu anijuze aliponea hospital au kwenye tiba asili? maana alitumia zote na akapona, ni kama copy n paste ya tatizo la bi mkubwa wako.

Na amini atapona
 
Pole sana.. Ila unavyosema nlijua mmefika hospitali kubwa..mjitahidi basi muende hospitali kubwa kuna vipimo zaidi hasa vya mishipa ya damu ya miguuni dopple ultasound na hata angiogramx .... Unaweza kukuta amepata DVT (periferal arterial desease) maana minor injury kama kuchomwa na kitu inaweza kusababisha ukakuta akipata clopidogel, cumadin( warfarin) na matibabu mengine mambo yanakua mazuri .. Muhimbili wanafanya na pia ni vzr aonane na specialist.. Pole sana try to do the needful miss strong

DVT..peripheral arterial dss, seriously??
why not think along the lines of cellulitis?
 
DVT..peripheral arterial dss, seriously??
why not think along the lines of cellulitis?
I ment DVT as one and common peripheral arterial diseases.. and its also common in pin point injuries.. through cellulatis inaweza inaweza kuwa na posibity coz infection can start from skin, lympatics to blood vesels lkn with clinical fetures it more rapidly, serious n coz of bacteria infection sometimes fever is very high..ila nadhani wangesha diagnose huko kote walipopita akienda muhimbili itamsadia zaidi.. Surely they will dx her
 
Pole sana,Mungu anaweza yote,fuata ushauri wa wadau juu.
 
Nashukuru kwa ushauri Dr.....Mungu akubariki

Kwani miss strong upo mikoani ama kama upo dar kwanini usimpeleke hata muhimbili kule kuna wataalamu wanacheza na vidonda vya aina zote watachukua majimaji au hata kukata kinyama kwenye kidonda watakipeleka maabara kufanya uchunguzi ni aina gani ya bakteria wanaoshambulia hapo kisha anapatiwa matibabu ya uhakika.
 
Back
Top Bottom