Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,689
- 64,709
Kwani kilichompeleka hadi kumwambia mama mkwe kuwa anauza samani ni nini?Mwenzako amekuambia akiuza hivyo vitu ndio atapata pesa ya kwenda kuanzia maisha huko aendako, amesema usawa sio mzuri, kwa uwazi kabisa na hata mke wake analijua hilo ndio maana amegoma mama yake asiuziwe sasa wewe unamtumbika shimoni, jamani Mamndenyi , au kwa vile mwanamke mwenzako?
Ampe tu, si unajuwa tena mama akinung'unika unaweza kuzaa watoto taahira?
Amalize kama alivyoaanza, hamna namna.