Umepata mke aisee, hongera kwa kupata mke mwemaHabari Wapendwa
Mi na familia yangu tunahamia mkoa mwingine..Nilipoenda kutoa taarifa za hizi pilika pilika za kuhama kwa wakwe,Mama mkwe akaniuliza juu ya vitu vyangu vya ndani..Nikamwambia vingi ntaviuza...Ntaondoka tu na vitu vidogo vidogo..
Juzi kanipigia simu akaniambia anaomba nimuuzie baadhi ya vitu..Sikumpa jibu la moja kwa moja nikamyumbisha kidogo then nikamwambia ntakutafuta tuongee..
Nimemshirikisha wife akaniambia tuviuze kwa mtu mwingine Kwa madai kuwa mama yake Ataleta longolongo tu na kujuana kwingi..
Wakuu embu niongezeeni busara juu ya hili,Nahisi zangu hazitoshi...Nifanyaje??
Kando ya hizo longolongo zake,Kumuuzia Mama mkwe hivi vitu ni sawa.???
Ningeweza kumpa bure sema hii pesa nahiitaji sana iweze kutubusti huko tunakoenda.. vile hali ya maisha ni tight kwa sasa
Yani Mkwe ndo umeamua kuja kunidhalilisha humu. Aliyekwambia sina hela ya kuvinunua hivyo vitu nani..Habari Wapendwa
Mimi na familia yangu tunahamia mkoa mwingine..Nilipoenda kutoa taarifa za hizi pilika pilika za kuhama kwa wakwe, Mama mkwe akaniuliza juu ya vitu vyangu vya ndani..Nikamwambia vingi nitaviuza...Nitaondoka tu na vitu vidogo vidogo..
Juzi kanipigia simu akaniambia anaomba nimuuzie baadhi ya vitu..Sikumpa jibu la moja kwa moja nikamyumbisha kidogo then nikamwambia ntakutafuta tuongee..Nimemshirikisha wife akaniambia tuviuze kwa mtu mwingine Kwa madai kuwa mama yake Ataleta longolongo tu na kujuana kwingi..
Wakuu embu niongezeeni busara juu ya hili,Nahisi zangu hazitoshi...Nifanyaje??
Kando ya hizo longolongo zake,Kumuuzia Mama mkwe hivi vitu ni sawa.???
Ningeweza kumpa bure sema hii pesa nahiitaji sana iweze kutubusti huko tunakoenda.. vile hali ya maisha ni tight kwa sasa
Habari Wapendwa
Mimi na familia yangu tunahamia mkoa mwingine..Nilipoenda kutoa taarifa za hizi pilika pilika za kuhama kwa wakwe, Mama mkwe akaniuliza juu ya vitu vyangu vya ndani..Nikamwambia vingi nitaviuza...Nitaondoka tu na vitu vidogo vidogo..
Juzi kanipigia simu akaniambia anaomba nimuuzie baadhi ya vitu..Sikumpa jibu la moja kwa moja nikamyumbisha kidogo then nikamwambia ntakutafuta tuongee..Nimemshirikisha wife akaniambia tuviuze kwa mtu mwingine Kwa madai kuwa mama yake Ataleta longolongo tu na kujuana kwingi..
Wakuu embu niongezeeni busara juu ya hili,Nahisi zangu hazitoshi...Nifanyaje??
Kando ya hizo longolongo zake,Kumuuzia Mama mkwe hivi vitu ni sawa.???
Ningeweza kumpa bure sema hii pesa nahiitaji sana iweze kutubusti huko tunakoenda.. vile hali ya maisha ni tight kwa sasa
mskilize mkeo yasije yakakukuta makuto!!!!Mkeo ana busara...
Sasa nitamshauri nini ikiwa nilicho taka kuandika umeandika cha kusisitiza hivyo vitu mpe mkweo bure huwezi jua keshoUshauri wangu kwako Kaboom, mpe mama hivyo vitu. Maisha hayataishia hapo na utapata vingine.
Ndoa ni zaidi ya vitu.
Mkeo anakupima tu lakini angependa sana umpe mama yake hivyo vitu. Wala usimuuzie. Utapata thawabu.
Pamoja na kubana kwa maisha, ndani ya moyo wako assume unaanza upya.
Mungu na akubariki sana
Muuzie haraka sana ili kulinda heshima !na vingine mpe buure na kugusu kumdai wala usiogope mdai kama wao walivyokudai mahari ya bint yaoHabari Wapendwa
Mimi na familia yangu tunahamia mkoa mwingine..Nilipoenda kutoa taarifa za hizi pilika pilika za kuhama kwa wakwe, Mama mkwe akaniuliza juu ya vitu vyangu vya ndani..Nikamwambia vingi nitaviuza...Nitaondoka tu na vitu vidogo vidogo..
Juzi kanipigia simu akaniambia anaomba nimuuzie baadhi ya vitu..Sikumpa jibu la moja kwa moja nikamyumbisha kidogo then nikamwambia ntakutafuta tuongee..Nimemshirikisha wife akaniambia tuviuze kwa mtu mwingine Kwa madai kuwa mama yake Ataleta longolongo tu na kujuana kwingi..
Wakuu embu niongezeeni busara juu ya hili,Nahisi zangu hazitoshi...Nifanyaje??
Kando ya hizo longolongo zake,Kumuuzia Mama mkwe hivi vitu ni sawa.???
Ningeweza kumpa bure sema hii pesa nahiitaji sana iweze kutubusti huko tunakoenda.. vile hali ya maisha ni tight kwa sasa
Kama ukimuuzia at fair price sioni tatizo isitoshe katika business inatakiwa watu wa karibu wawe wa kwanza kutoa support kama mama mkwe wa kisasa atakuelewa huyo na atakupa mshiko wako tu as long as ajue lengo la kuuza kwakoHapana usimuuzie ni bora umpe, hata mkeo hatopendezwa kuona mnamuuzia mama yake vitu naamini kabla mama yake hajakupigia alishaongea na mwanae.....kama una hitaji hela sana viuze tu then umuambie kuwa ulishaongea na mtu na ushachukua advance kwa hiyo hutoweza kurudisha hela sio ustaarabu....