Hii ngumu kweli kweli, kuwauzia wengine vyote mama mkwe ataona kama vile umemzalau. Mpe binti yake (Mkeo) jukumu la kumuelimisha mama yake na hata jukumu la kuviuza pia, wewe ukiwa unachungulia kwa mbali.
Na mwisho mwambie ni mwiko kwenu kumuuzia Mama ama Baba mkwe kitu chochote. Usingekuwa na shida ya pesa hiyo ningekushauri umpe tu vitu anavyotaka, lakini kama usawa wenyewe ndio huo, ndg komaa uuze upate pa kuanzia huko uendako kwenye mkoa mwingine
Na mwisho mwambie ni mwiko kwenu kumuuzia Mama ama Baba mkwe kitu chochote. Usingekuwa na shida ya pesa hiyo ningekushauri umpe tu vitu anavyotaka, lakini kama usawa wenyewe ndio huo, ndg komaa uuze upate pa kuanzia huko uendako kwenye mkoa mwingine