Leo asubuhi, baada ya kumsalimia mama mkwe, ameniuliza mimi na mtoto wake tulikutana wapi? Nimeshindwa kumjibu kwasababu sijaelewa mantiki ya swali lake.
1. Akishajua itamsaidia nini?
2. Au hajaridhika kuwa mimi nina hadhi ya kuwa mkwe wake?
Mawazo mabaya huleta matokeo mabovu ukianza na fikra za kipuuzi namna hiyo hata hiyo ndoa utaiona chungu na hakuna jema utaliona kwa mama mkwe wako BTW HUYO NI MAMA YAKO KAMA ALIVO MAMA YAKO WA KUKUZAA.
(anaweza kuwa ni mtu wa utani alitaka akuchekeshe kitu huo ni mtizamo wangu KILA LA HERI)
mmmh huyo mama analake jambo ili kumkata stim mwambie mlikutana bar usiku then mwanae akavutiwa na unywaji wako, mlipomaliza kunywa mkaingia disco kulimwaga sebene asubuhi mkajikuta mpo gest ndipo mwanzo mlipokutana kimwili.au ye anataka kujua sehemu tu? manake kukutana kuna maana zaidi ya moja.mama mkwe wengine bana looh
Ok, Inategemeana amekuuliza katika mazingira gani? kama maongezi ya kawaida si unarespond tu tokana na kile mlichokuwa mnaongelea!! Lakini alipaswa kuuliza wakati wa Harusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.