Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
mjibu tu kilabuni,kwani si umeshamuoa,hatakunyang'anya mkeo,mimkwe mingine bwana
Anayeuliza swali ni "mke"si "mme".
Kwanini aseme klabuni hata kama hawajakutana klabuni.
Kwanini asimueleze ukweli?
mjibu tu kilabuni,kwani si umeshamuoa,hatakunyang'anya mkeo,mimkwe mingine bwana
Ok, Inategemeana amekuuliza katika mazingira gani? kama maongezi ya kawaida si unarespond tu tokana na kile mlichokuwa mnaongelea!! Lakini alipaswa kuuliza wakati wa Harusi.
Mkoani ni sehemu gani ndani ya Tanzania na Duniani kwa ujumla.
Mkoani ni kwa mfano, wewe ukiwa una kaa ifakara, halafu mkweo anakaa Morogoro manispaa,
Hapo sasa ndio unasema mkweo anakaa mkoani wewe unakaa wilayani.
umeulizwa swali rahisi lakini nadhani kwa kuwa moyo wako una hila ukataka kuleta timbwili la Fatuma Ndala Ndefu
Leo asubuhi, baada ya kumsalimia mama mkwe, ameniuliza mimi na mtoto wake tulikutana wapi? Nimeshindwa kumjibu kwasababu sijaelewa mantiki ya swali lake.
1. Akishajua itamsaidia nini?
2. Au hajaridhika kuwa mimi nina hadhi ya kuwa mkwe wake?
Watu8 Sina timbwili la Fatuma Ndala Ndefu, huyu ni mama na ninamheshimu sana, tena ukizingatia tumekutana ukubwani, afadhali mama yangu angeweza kunitania kwani ananijua tangu nikiwa mdogo. Kama nilikuwa changu na mwanae alikuwa mteja wangu mzoefu akanogewa inapaswa kweli ayajue hayo?
Swali hilo aliuliza akiwa ktk haligani, hasira, furaha,aukawaida? Vipi hali yako na yake kimaisha, nani mwenye hadhi ya juu zaidi ya mwenzie? Kwakuanzia hapo tutajua alichokua akikimaanisha.Leo asubuhi, baada ya kumsalimia mama mkwe, ameniuliza mimi na mtoto wake tulikutana wapi? Nimeshindwa kumjibu kwasababu sijaelewa mantiki ya swali lake.
1. Akishajua itamsaidia nini?
2. Au hajaridhika kuwa mimi nina hadhi ya kuwa mkwe wake?
Kwanini asimuulize mwanae jamani! Na hata mwanae kimsingi hapaswi kumuuliza swali kama hilo. Wakwe wengine, mungu awasamehe tu
Nilijibu swali kuwa, mama mkwe hatukai nae, amekuja tu katika mji tunaishi lakini anaishi mkoani. Ni moja ya mikoa ya Tanzania.
Mkoani ni kwa mfano, wewe ukiwa una kaa ifakara, halafu mkweo anakaa Morogoro manispaa,
Hapo sasa ndio unasema mkweo anakaa mkoani wewe unakaa wilayani.
Ndiyo utata unapokuja, ameniuliza baada tu ya salamu, hata hatukuwa kwenye hali ya utani.
Kwami wewe unaishi TARAFANI ama WILAYANI?-Amekuja kutujulia hali, yeye anaishi mkoani.
Mawazo mabaya huleta matokeo mabovu ukianza na fikra za kipuuzi namna hiyo hata hiyo ndoa utaiona chungu na hakuna jema utaliona kwa mama mkwe wako BTW HUYO NI MAMA YAKO KAMA ALIVO MAMA YAKO WA KUKUZAA.
(anaweza kuwa ni mtu wa utani alitaka akuchekeshe kitu huo ni mtizamo wangu KILA LA HERI)
mmmh huyo mama analake jambo ili kumkata stim mwambie mlikutana bar usiku then mwanae akavutiwa na unywaji wako, mlipomaliza kunywa mkaingia disco kulimwaga sebene asubuhi mkajikuta mpo gest ndipo mwanzo mlipokutana kimwili.au ye anataka kujua sehemu tu? manake kukutana kuna maana zaidi ya moja.mama mkwe wengine bana looh