KERO Malipo ya Posho kwa Interns Serikalini: TTB & TANAPA

KERO Malipo ya Posho kwa Interns Serikalini: TTB & TANAPA

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wanaojitolea serikalini (interns) tunaombwa walipwe posho zao za mwezi na za kazi nje ya ofisi kwa wakati. Hasa Taasisi za Wizara ya Utalii na Maliasili naongelea zaidi Tanzania Tourist Board (TTB) na Tanzania National Parks Authority (TANAPA).

Wanacheleweshewa sana hivyo kupelekea kuishi maisha magumu eneo la kazi.
Wakurugenzi wakuu tunaomba mfuatilie hili..
 
Wanaojitolea serikalini (interns) tunaombwa walipwe posho zao za mwezi na za kazi nje ya ofisi kwa wakati. Hasa Taasisi za Wizara ya Utalii na Maliasili naongelea zaidi Tanzania Tourist Board (TTB) na Tanzania National Parks Authority (TANAPA).

Wanacheleweshewa sana hivyo kupelekea kuishi maisha magumu eneo la kazi.
Wakurugenzi wakuu tunaomba mfuatilie hili..
Interns wattb labda, ila tanapa kujitolea hakupo , ni field tu
 
Back
Top Bottom