mali zipo ,uwongo pia upo.kama'kweli yupo mtu ambaye anasema ameona sehemu kuna ,mali za mjerumani iwe sanduku ma kingine chochote lakini hakuingiliki ama kuna simba,fimbo,joka au mauza uza yoyote;sisi tupo tunatoa kiulainiiil,ila wengi waongo .kama mtu ana uhakika call 0717 292726,tukapige hela,onyo muongo akae mbali,kwa walio ona tu suala la kusikia kaa mbali.
Kuna jamaa yangu Rukwa pembeni na ziwa tanganyika alichimba akafika kwenye zege, hiyo cementi sijui ni aina gani haitoboki kwa kwa sururu wala nyundo, alinunua Conc. HCL lita 100 , zina uwezo wa kuyeyusha jiwe lolote hata chuma, walipomwaga palichemka sana, kesho yake walikuta majivu juu ila zege liko palepale, walijaribu kutumia baruti, hamna kitu. Ameishia kulitafutia hati miliki na kuendelea na shuguli zake.mkuu kuna sehem tunachimba ila hatua iliyop sasa tumekuta zege muda wowote tunaweza kulipua mana ndio hatua ya mwisho tulipofikia saiv,ntakutafuta
Ukija Kuzipata Mali Za Ujeruman Na Ukazipata Basi Wewe Hatari MALI ZA MJERUMAN ZIMEZINDIKWA KWA DAMU YA WATU.
Kuna jamaa yangu Rukwa pembeni na ziwa tanganyika alichimba akafika kwenye zege, hiyo cementi sijui ni aina gani haitoboki kwa kwa sururu wala nyundo, alinunua Conc. HCL lita 100 , zina uwezo wa kuyeyusha jiwe lolote hata chuma, walipomwaga palichemka sana, kesho yake walikuta majivu juu ila zege liko palepale, walijaribu kutumia baruti, hamna kitu. Ameishia kulitafutia hati miliki na kuendelea na shuguli zake.
Hivyo kama unadhani umefika mwisho basi jua ngoma bado mbichi
She sikatai walakin nasema jwa upande mwingine hao wajerumani uliwahi shuhudia mwenyewe au unaambiwa na jama tu? Maana hzi tumesikia tungali tupo mashuleni leo hii pia tunahadithiwa naomba km utafuatilia mwenyeww hata hapa kwetu Iringa yapo maeneo mengi sana na nimeyaona hata mimi pia na zipo na nyingine masanduku yanaonekanz walskin mazingira magumu
Hadithi hizi hazikuanza hivi karibuni! Huko Tukuyu, Mbeya kuna ziwa linaitwa Kibisi ambalo halina sehemu inayooneka kwa macho kama inaingaza maji ziwani humo au kutoa ambalo Wajerumani baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia walitupa hazina kubwa ya mali ambayo upatikanaji wake ni mgumu kwani kila anayezamia na kutaka kuitoa anakumbana na mauzauza mengi ikiwemo kutokewa na joka kubwa linalotisha!
Inasemekana kuna wazungu walijaribu kuitoa hazina hiyo wakashindwa baada ya mmoja wao kuzamia huku akiwa amefungwa vifaa maalumu pamoja na minyororo ya kufungia masanduku ya chuma yanayosemekana yapo chini ya ziwa. Mzungu huyo hakurudi juu wala masanduku na kupotelea chini ya ziwa na kuwafanya wenzake kuondoka kwa majonzi makubwa badala ya furaha!
Hizi habari ni kweli tupu na ukoo wa kijerumani unaoweza kutoa hii mizigo sio kila ukoo tu . Ule ukoo wa kaizer na wenye asili ya Bavaria ndio wenye uwezo wa kutoa kwani hata huko Ujerumani kwenyewee hiii sio habari ya kuongelea simple simple kama huku kwetu. Narudia tena hizi habari ni za kwelii
Huku kwetu kuna mzee mmoja alishachimba hzo mali tangu akiwa kijana hadi sas ana miaka 65 bado hajafanikiwa kufikia masanduku hayo, hata leo jioni alitoka huko kuchimba, nilijaribu kumdadis yule mzee anasema kwamba mali hxo zipo shida ni kwamba zimezindikwa hata waganga wa huku africa hawawzi kuzitoa hadi wajerumani wenyewe.
Ila pamoja kuelewa hvyo mzee wa watu bado tu anakomaa na anasema bado anamatumaini kuwa siku moja Mungu atamsaidia ataxifikia hzo mali, binafsi nafaham maeneo mengi yanayosadikiwa kuwepo kwa mali hzo so mwenye kuhitaji aniPM nimpe ramani. kuna sehemu palikuwa na gereza la wajerumani zamani, Babu yake baba aliwahi kufungwa pale na mjerumani kisa alikuwa na urafiki na mwingereza, kipindi hicho walichimba maandaki makubwa hapo lkn hawakujua matumizi ya maandaki yale, sasa hapo ndo unaambiwa mali zimejaa na zinahitaji nguvu kubwa kuziondoa.