Mali za Kijerumani

Mali za Kijerumani

Mpaka mmeamua kuifukua hii thread,nahisi kuna mdau kapata dili..Ila kuna utapeli..kazi kwenu!
 
mali zipo ,uwongo pia upo.kama'kweli yupo mtu ambaye anasema ameona sehemu kuna ,mali za mjerumani iwe sanduku ma kingine chochote lakini hakuingiliki ama kuna simba,fimbo,joka au mauza uza yoyote;sisi tupo tunatoa kiulainiiil,ila wengi waongo .kama mtu ana uhakika call 0717 292726,tukapige hela,onyo muongo akae mbali,kwa walio ona tu suala la kusikia kaa mbali.

mkuu kuna sehem tunachimba ila hatua iliyop sasa tumekuta zege muda wowote tunaweza kulipua mana ndio hatua ya mwisho tulipofikia saiv,ntakutafuta
 
mkuu kuna sehem tunachimba ila hatua iliyop sasa tumekuta zege muda wowote tunaweza kulipua mana ndio hatua ya mwisho tulipofikia saiv,ntakutafuta
Kuna jamaa yangu Rukwa pembeni na ziwa tanganyika alichimba akafika kwenye zege, hiyo cementi sijui ni aina gani haitoboki kwa kwa sururu wala nyundo, alinunua Conc. HCL lita 100 , zina uwezo wa kuyeyusha jiwe lolote hata chuma, walipomwaga palichemka sana, kesho yake walikuta majivu juu ila zege liko palepale, walijaribu kutumia baruti, hamna kitu. Ameishia kulitafutia hati miliki na kuendelea na shuguli zake.
Hivyo kama unadhani umefika mwisho basi jua ngoma bado mbichi
 
deals zingine utapagawa tu....ni nani aliyeuza na akatajirika najuaa huwa wanasema bakhresa aliuza rupia mara aliuza mecury.....nI hadithi tu hzo
 
Ukija Kuzipata Mali Za Ujeruman Na Ukazipata Basi Wewe Hatari MALI ZA MJERUMAN ZIMEZINDIKWA KWA DAMU YA WATU.

Zamani sikuamini kama wazungu ni wachawi kiasi hicho, lakini baada ya kuzungumza na watu tofauti waliohusika uchimbaji wa mali hizo, wote walikili kitu kimoja...uchawi.
Wote wanafanikiwa kufika kwenye zege chini ya ardhi, kwa kutumia mashine zenye remote sensing wanaona aina za madini zilizomo chini ya zege. Tatizo zege inatolewaje? Aidha haitaripuka kwa baruti au udongo wa juu utarudi kufukia lile eneo au maji yataanza kububujika kama chemichemi kutoka chini na kujaa eneo lote. Juhudi yoote inakuwa imepotea, badala ya utajiri watu wanapata umaskini wa kuwatosha.

Kumbuka mpaka kufika kwenye zege ni jitihada kubwa si chini ya miezi sita na gharama kubwa
 
Kuna jamaa yangu Rukwa pembeni na ziwa tanganyika alichimba akafika kwenye zege, hiyo cementi sijui ni aina gani haitoboki kwa kwa sururu wala nyundo, alinunua Conc. HCL lita 100 , zina uwezo wa kuyeyusha jiwe lolote hata chuma, walipomwaga palichemka sana, kesho yake walikuta majivu juu ila zege liko palepale, walijaribu kutumia baruti, hamna kitu. Ameishia kulitafutia hati miliki na kuendelea na shuguli zake.
Hivyo kama unadhani umefika mwisho basi jua ngoma bado mbichi

mkuu ngoja tujarib kwa.upande wetu km itakubali ntakuletea mrejesho.
 
Mwenye rupia nyekundu ama fufumark pia Pasi na majiko ya kijeruman yenye sifa zinazotakiwa..na mercury soko lipo dar na kwa Pesa nzuri na salama piga namba 0716637717 au 0769767771 wasumbufu na matapeli kaen mbali tafadhali
 
Mwenye rupia nyekundu ama fufumark pia Pasi na majiko ya kijeruman yenye sifa zinazotakiwa..na mercury soko lipo dar na kwa Pesa nzuri na salama piga namba 0716637717 au 0769767771 wasumbufu na matapeli kaen mbali tafadhali uwe tayar kuja dar bila masharti ya ajabu ajabu
 
Unajua nashangaa sana watu wanapiga simu halafu hawaeleweki au sijui hawajielew au vpi we unapiga simu halafu eti unataka kuongea na tajiri mwenyewe ili iweje kama sio utapeli nawaangalia tu siku ukiingia mia nne zangu ndo utajua nshasema sitoi pesa kabla mzigo haujafika sokoni pia situmi nauli hata mia watu tupo kikazi mitapeli inatupotezea uaminifu kwa watu
 
Kama unaRUPIA NYEKUNDU au FUFUMARK; MERCURY..pasi na vitu vya kujeruman vyenye vigezo vyote masoko yapo dar es salaam na kwa malipo mazuri pia salama zaidi hata kama kunapango lenye masanduku tuwasiliane 0716637717. @ au 0769767771 tafadhal matapel wadanganyifu kaeni mbal tupo kikaz zaidi na si ubabaishaji huo hauna nafasi
 
She sikatai walakin nasema jwa upande mwingine hao wajerumani uliwahi shuhudia mwenyewe au unaambiwa na jama tu? Maana hzi tumesikia tungali tupo mashuleni leo hii pia tunahadithiwa naomba km utafuatilia mwenyeww hata hapa kwetu Iringa yapo maeneo mengi sana na nimeyaona hata mimi pia na zipo na nyingine masanduku yanaonekanz walskin mazingira magumu

Haaa wee muongoo mbona me kwetu iringa na sijawai kuyaona masandukuu hayoo hebu niambiee iringa sehem ganiiii😒😟??
 
Kwa taarifa tu mambo hayo ni ya kiroho zaidi na kamwe huwezi kuyapata isipokuwa uwe kwenye mtandao fulani wa kiroho na wala mtandao huo siyo mzuri kwa maisha yako.
 
Hizi habari ni kweli tupu na ukoo wa kijerumani unaoweza kutoa hii mizigo sio kila ukoo tu . Ule ukoo wa kaizer na wenye asili ya Bavaria ndio wenye uwezo wa kutoa kwani hata huko Ujerumani kwenyewee hiii sio habari ya kuongelea simple simple kama huku kwetu. Narudia tena hizi habari ni za kwelii
 
Mi nilifatilia pango moja nilichokiona sitaki tena mambo hayo, nilikuta mtu kaliwa na nyoka
 
Hadithi hizi hazikuanza hivi karibuni! Huko Tukuyu, Mbeya kuna ziwa linaitwa Kibisi ambalo halina sehemu inayooneka kwa macho kama inaingaza maji ziwani humo au kutoa ambalo Wajerumani baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia walitupa hazina kubwa ya mali ambayo upatikanaji wake ni mgumu kwani kila anayezamia na kutaka kuitoa anakumbana na mauzauza mengi ikiwemo kutokewa na joka kubwa linalotisha!

Inasemekana kuna wazungu walijaribu kuitoa hazina hiyo wakashindwa baada ya mmoja wao kuzamia huku akiwa amefungwa vifaa maalumu pamoja na minyororo ya kufungia masanduku ya chuma yanayosemekana yapo chini ya ziwa. Mzungu huyo hakurudi juu wala masanduku na kupotelea chini ya ziwa na kuwafanya wenzake kuondoka kwa majonzi makubwa badala ya furaha!

Brother unachosema ni sahihi ziwa linaitwa kisiba me nimeshudia kuna wazungu walikuja na boti na wakatumia vifaa maalum kuangalia vilivyopo chini but kila wakiangalia walikuwa wanatikisa vichwa tu kuonesha kwamba kuna vitu visivyokuwa vya kawaida walihangaika pale cku 3 pale kila wakijaribu kuzama ndani kwa vifaa maalum akifika chini anarudi na kusema vile vitu havionekani baadae walikata tamaa na kuondoka watupu me ni mkazi wa hapa kisiba kijiji cha masoko
 
Hizi habari ni kweli tupu na ukoo wa kijerumani unaoweza kutoa hii mizigo sio kila ukoo tu . Ule ukoo wa kaizer na wenye asili ya Bavaria ndio wenye uwezo wa kutoa kwani hata huko Ujerumani kwenyewee hiii sio habari ya kuongelea simple simple kama huku kwetu. Narudia tena hizi habari ni za kwelii

kibongo bongo jina lako litasababisha usiaminike
 
Huku kwetu kuna mzee mmoja alishachimba hzo mali tangu akiwa kijana hadi sas ana miaka 65 bado hajafanikiwa kufikia masanduku hayo, hata leo jioni alitoka huko kuchimba, nilijaribu kumdadis yule mzee anasema kwamba mali hxo zipo shida ni kwamba zimezindikwa hata waganga wa huku africa hawawzi kuzitoa hadi wajerumani wenyewe.
Ila pamoja kuelewa hvyo mzee wa watu bado tu anakomaa na anasema bado anamatumaini kuwa siku moja Mungu atamsaidia ataxifikia hzo mali, binafsi nafaham maeneo mengi yanayosadikiwa kuwepo kwa mali hzo so mwenye kuhitaji aniPM nimpe ramani. kuna sehemu palikuwa na gereza la wajerumani zamani, Babu yake baba aliwahi kufungwa pale na mjerumani kisa alikuwa na urafiki na mwingereza, kipindi hicho walichimba maandaki makubwa hapo lkn hawakujua matumizi ya maandaki yale, sasa hapo ndo unaambiwa mali zimejaa na zinahitaji nguvu kubwa kuziondoa.

Mmhhh hivi we uongo umesomeaaa nini maana mhmhhh
 
hata mie nimesikia pande za mt kilimanjaro kuna mkabuli wa kioo hukihangaria hunahona mizahabu hukitaka kupasua kioo kwanza hakipasuki then hanatokea joka au asikari wa kikolon
 
Back
Top Bottom