Mzigo wa Mjerumani upo tena wakutosha Tz. Ndo maana na serikali wametunga sheria inayoitwa Antiquities Act...aka mambo ya kale. Mininashimo langu karibuni nazoa mzigo. Mnategemea nitatangaza? Najua mtanisema nimejiunga Freemasons. Mamilionea wengi TZ wamepiga huo mzigo asieamini aendelee kutoamini. Tena mi chimbo langu halina muujiza wala nini... walitumia akili kubwa sana ikiwemo kutengeneza chumba ndani ya jabari chini ya aridhi mlimani.
utaona muujiza utakapo karibia mali!!!