Mali za Kijerumani

Sasa basi Mimi ni mkazi WA dar es salaam... NAKUHAKIKISHIA Wewe uliyemakini na unajua kweli unamali za kijeruman aidha Wewe unamiliki au ndugu yako rafiki yako au kuna mtu unaemjua anamiliki Iwe ni FUFUMARK, MERCURY YAN MAJI MEKUNDU AU NJANO AU MEUSI, KOROFINDO, RUPIA YA SIMBA WAWILI, KUFULI , JIKO, CHEMLI, RUPIA YA KITUMBUA, PASI, DINALI, SHILLING MOJA YA MWAKA 1978 NA 1979 , MAJI YA KIZA, CHOMBO CHOCHOTE CHA KIJERUMAN NEMBO NA MAJARIBIO YAKE YAFAULU BASI tajiri Anaechukua hvyo vitu Yupo Hapa dar es salaam ni WA uhakika na anavibali vyote na utapewa sadaka au Zawad yako bila matatizo yeyote(kumbuka hii ni sadaka na si biashara hivi vitu Vina majin na ni vya kifalme hvyo hatutumii neno biashara au kuuza) tuwasiliane Kwa namba 0716637717 au 0769767771 naomba uwe Tayar kuja dar na si vinginevyo wasumbufu na nmatapeli najua mnaisoma hii tafadhali kaeni mbali.. Msituharibie watu tuliomakin na tunaojua nnn tunafanya
Kuna bibi ana stove 2 mkoani Njombe
 
Hamna lolote ni uzushi tu na mara nyingi wanaoanzisha ni watu ambao ni wavivu wa kujituma kimaisha wanahisi kama kuna njia ya mkato ya kupata utajili

Katika miaka ya 90 walikuwa wanatafuta sarafu za kiJerumani zinaitwa rupia kwa madai kuwa ukipata moja kunakitu unafanya inacheua midora mingi watu waliangaika sana sijui ule uzushi ulishia wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi bro uhakika bado hauko
Kweli tunaambiwa kuna mali nyingi za thamani kubwa walakin mengi au wengi wao ni wazushi mimi huwa nafatilia sana hz sehemu walakin sijawahi kuona yoyote kati ya hao alifanikiwa. Nadhani ni hadithi tu na uhakika bado hauko
mali zipo ishu kuzito
 
Unapajua twende unipeleke kijana
mkuu hizi habari kweli ila wale jamaa wameroga sana,unaweza ukafuatilia ukikaribia kufanikiwa unaghairi kumaliizia kazi au mkagombana wenyewe kwa wenyewe ,wamepumbaza sana ila amin tu wazungu wachawi sana.
 
Uko msitu huku tanga wakati unakatiza zipo alama nyingi zimechorwa ktk mawe na miti zikionyesha uelekeo wa kufuata,unapojaribu kufuata mwishowe hukutana na zege kubwa lililomiminwa kwa ufundi wa hali ya juu na alama kama ya w zilizoumana,lazima kutakuwa na kitu si bure

Wengi walikuwa wanatumia biblical signs kama wahispania na wagiriki
Wajerumani wametumia ishara za compass
Inataka akili kubwa kuelewa Mali zilipohifadhiwa
Zipo sehemu nyingi duniani na moja iliyonishangaza sana ni wale wapambanaji walioenda kutafuta mali huko kwenye kisiwa cha majoka Ilha da Queimada Grande huko Brazil
Kisiwa ambacho nyoka wamejaa kiasi ambacho kila hatua unayopiga unaona nyoka aidha chini au juu ya miti
Lakini bado jamaa wakaendelea kutafuta na kufuata ishara zote
Hawakufanikiwa ingawa waliamua kulala hapohapo kisiwani kwenye majoka
Usiku kuna nyoka walikuwa wakianguka toka juu ya miti yaani ilikuwa ni tafrani tupu na yote hiyo ni kutafuta utajiri
 
Wengi walikuwa wanatumia biblical signs kama wahispania na wagiriki
Wajerumani wametumia ishara za compass
Inataka akili kubwa kuelewa Mali zilipohifadhiwa
Zipo sehemu nyingi duniani na moja iliyonishangaza sana ni wale wapambanaji walioenda kutafuta mali huko kwenye kisiwa cha majoka Ilha da Queimada Grande huko Brazil
Kisiwa ambacho nyoka wamejaa kiasi ambacho kila hatua unayopiga unaona nyoka aidha chini au juu ya miti
Lakini bado jamaa wakaendelea kutafuta na kufuata ishara zote
Hawakufanikiwa ingawa waliamua kulala hapohapo kisiwani kwenye majoka
Usiku kuna nyoka walikuwa wakianguka toka juu ya miti yaani ilikuwa ni tafrani tupu na yote hiyo ni kutafuta utajiri
ha ha ha / some time maisha inabidi kurisk life maana manake unaona bila kufanya ujasiri utateseka mpaka lini?
 
Mwenye mali za kijerumani kama vile pasi, Rupia ya kitumbua, Rupia ya simba wawili, Fufumarfk, pasi , maji mekundu (Mercury), kisu, dinali , n.k nitafute kwa 0716637717 na 0769767771 soko la uhakika lipo
 
Back
Top Bottom