Mali za Kijerumani

Mali za Kijerumani

mkuu ungetupa story step kwa step mfano ulienda vijiji gani n amadini gani ulikuwa unatafuta,vikwazo etc tungejifunza mengi kwako kuhusu mali za mjerumani

Vijiji ambavyo nilifika ni Bumanda kipindi hicho ikiwa wilaya ya Geita (sasa Nyang'hwale),baadae nikaingia Mwanzayamadaso,Ngemo,Ivumwa (Ushirombo) baadae tukaanza kusaka milimani na Mzee mmoja Mzanzibar akaweka dau la gari mpya endapo tukipata. Nilichokuwa natafuta ni pasi ya Mjerumani na birika ambalo tuliaminishwa vilitengenezwa kwa dhahabu tupu. Kaka yangu Juma hadi ndoa ilivunjika kwa kulowea akitafuta hizo dhana. kwa kifupi usijaribu kabisa hili dili ni nusu ukichaa.
 
Ina maana serikali na viongozi wenye pesa zao hawajui ili jambo????

Prof. Sospeter Muhongo siku anatangaza nia alidai anayo ramani ya madini naliyokabidhiwa na Wajerumani hivyo ili aiweke hadharani sharti aingie kwanza Magogoni.
 
Vijiji ambavyo nilifika ni Bumanda kipindi hicho ikiwa wilaya ya Geita (sasa Nyang'hwale),baadae nikaingia Mwanzayamadaso,Ngemo,Ivumwa (Ushirombo) baadae tukaanza kusaka milimani na Mzee mmoja Mzanzibar akaweka dau la gari mpya endapo tukipata. Nilichokuwa natafuta ni pasi ya Mjerumani na birika ambalo tuliaminishwa vilitengenezwa kwa dhahabu tupu. Kaka yangu Juma hadi ndoa ilivunjika kwa kulowea akitafuta hizo dhana. kwa kifupi usijaribu kabisa hili dili ni nusu ukichaa.

Mkuu ivyo vitu mlikuwa mnaenda kuvichimba au mlikuwa mnalekezwa mtu anayo? Je zile stori za uchawina mauzauza mbali mbali ni kweli?
 
Mkuu ivyo vitu mlikuwa mnaenda kuvichimba au mlikuwa mnalekezwa mtu anayo? Je zile stori za uchawina mauzauza mbali mbali ni kweli?

Mkuu nitafute kesho hivi sasa ni saa sita usiku mwenzio nina mke,Samahani lakini.
 
Prof. Sospeter Muhongo siku anatangaza nia alidai anayo ramani ya madini naliyokabidhiwa na Wajerumani hivyo ili aiweke hadharani sharti aingie kwanza Magogoni.

Huyo jamaa mbinafsi..aendelee kukaa na hiyo ramani hatuitaki maana hata tukijua madini yalipo hayatatusaidia kama ambavyo haya yanayojulikana hajatusaidi pia....
 
Poa mkuu, ukipata muda endelea kutujuza

Mkuu katika tafuta hizo mali tulibahatika kupata sarafu moja kati ya zinazotakiwa sasa kilichofuatia ni mkasa tupu!! nakumbuka siku tunaipata hiyo sarafu mjomba wangu aliomba akaicheki kama ni mojawapo ya alizowahi kuzihifadhi kumbe na yeye alikuwa anatafuta gia ya kutuibia,tulipompatia akaondoka nayo hadi Sengerema pale mission hospital palikuwepo Wazungu ambao yeye aliambiwa (kudaganywa) kwamba wanatafuta hizo sarafu kwa milioni thelathini hivyo akaona atupige changa la macho!! alipofika Sengerema (kwao) akawaelezea wadogo zake wampeleke hapo Mission Sengerema,usiku wadogo zake wakamuibia wakifkri wametoka kimaisha lakini tulipata habari toka kwa bibi yetu nusra wakamatwe hapo Mission isipokuwa huruma tu za hao ma sister baada ya kuhisi ni mataperi na hakuna biashara kama hiyo. kwa kifupi hiyo biashara ni hadithi au uongo ambao hauna tofauti na viungo vya binadamu. No shortcut on life.
 
Moja ya alama ni hizo hapo hazifutiki kirahisi. Kwa ambaye yupo serious na anajua maeneo yenye mali kwa iringa ani pm tufanye kazi.
 

Attachments

  • 1434722071064.jpg
    1434722071064.jpg
    85.2 KB · Views: 602
Mkuu katika tafuta hizo mali tulibahatika kupata sarafu moja kati ya zinazotakiwa sasa kilichofuatia ni mkasa tupu!! nakumbuka siku tunaipata hiyo sarafu mjomba wangu aliomba akaicheki kama ni mojawapo ya alizowahi kuzihifadhi kumbe na yeye alikuwa anatafuta gia ya kutuibia,tulipompatia akaondoka nayo hadi Sengerema pale mission hospital palikuwepo Wazungu ambao yeye aliambiwa (kudaganywa) kwamba wanatafuta hizo sarafu kwa milioni thelathini hivyo akaona atupige changa la macho!! alipofika Sengerema (kwao) akawaelezea wadogo zake wampeleke hapo Mission Sengerema,usiku wadogo zake wakamuibia wakifkri wametoka kimaisha lakini tulipata habari toka kwa bibi yetu nusra wakamatwe hapo Mission isipokuwa huruma tu za hao ma sister baada ya kuhisi ni mataperi na hakuna biashara kama hiyo. kwa kifupi hiyo biashara ni hadithi au uongo ambao hauna tofauti na viungo vya binadamu. No shortcut on life.

Thanks a lot mkuu
 
Moja ya alama ni hizo hapo hazifutiki kirahisi. Kwa ambaye yupo serious na anajua maeneo yenye mali kwa iringa ani pm tufanye kazi.

Bro kwa iringa kuna sehem flan pawaga ina hizi ishu nlisimuliwa sana japokuwa sikuwahi kufika...
 
sio kweri kuwa kuna izo Mali ni aina ya utapeli. APA chuoni kwetu Mzumbe morogoro, mwl wetu mmoja wa idara ya utawala mwanamke. anajihusisha na uchimbaji wa Mali hizo. anatapeliwa na waganga sana!. mbaya zaidi amejikuta amekuwa MTU haishi kwa sangoma! ilikuwa siri sasa in wazi. hii nimeipata kupitia mpenzi wake mmoja ambae ni mwanafunzi APA chuoni.
 
Jaman tabora kuna mrima unaitwa iwelanguma nilisha wahi kuona alama kama hi.xx.je inauhusiano wowote?lakini ilipo imejifichasana zamani tilikua tukiwinda nunguli Mimi niliona nikamuuliza babu yangu akasema hapo kuna maficho usiende tena utakufa niliogopa sana.
 
Uku kwetu watu wamepata Reli na nondo wamefukia chini kuna sehemu kuna gofu lao cjui kama kutakuwa na chochote
 
Jaman tabora kuna mrima unaitwa iwelanguma nilisha wahi kuona alama kama hi.xx.je inauhusiano wowote?lakini ilipo imejifichasana zamani tilikua tukiwinda nunguli Mimi niliona nikamuuliza babu yangu akasema hapo kuna maficho usiende tena utakufa niliogopa sana.

Mkuu.......mrima ni kitu gani.......?.......
 
  • Thanks
Reactions: amu
Dah! Nilichelewa kuuona huu uzi ila nitachangia tu uelewa wangu huenda wapo watakaonufaika na kuelewa na wapo pia ambao hawataamin kabisa.

Mali za kijeruman ni kweli zipo tena nyingi sana. Pia ni kweli kuwa mali hizo zimefichwa kwa utaalam usio wa kawaida yani uchawi aina ya mistry umetumika zaidi. Uchawi huu hutumiwa zaidi na taifa teule la Mungu yaani waisrael. Mistry ni uchawi wa hali ya juu sana kiasi kwamba uchawi unaotumika afrika wa black magic ni vigumu kutengua kitu au mtu aliyelogwa kwa uchawi huo.

Watanzania wengi hawawezi kuamin uwepo wa mali hizo kutokana na mazingira yake kuwa magumu kuliko fikra za wengi. Ili kupata Mali hizo za wajeruman ukienda kwa mganga sharti atakwambia uchinje kuku, ng'ombe, mbuzi au kafara ya mtu jambo ambalo ni kosa kubwa katika kutafuta mali hizo. Mali hizo hazihitaji kafara ya damu isipokuwa kuna utaratibu wake wa namna ya kuzitafuta na kuzipata.

Kuna watu humu jf wanapinga uwepo wa mali hizo lakini baadhi yao wanaopinga htawajawahi kusafiri mikoani. Fanyen tafiti.
 
Back
Top Bottom