Mali za Kijerumani

Mali za Kijerumani

Jamani mmemuona Rais wa Ujerumani kaja kuitembelea Tanzania na mnajua kwanini Maraisi wengi wa mataifa makubwa wanapishana Airport Tanzania ?
 
mali zipo ,uwongo pia upo.kama'kweli yupo mtu ambaye anasema ameona sehemu kuna ,mali za mjerumani iwe sanduku ma kingine chochote lakini hakuingiliki ama kuna simba,fimbo,joka au mauza uza yoyote;sisi tupo tunatoa kiulainiiil,ila wengi waongo .kama mtu ana uhakika call 0717 292726,tukapige hela,onyo muongo akae mbali,kwa walio ona tu suala la kusikia kaa mbali.

Njaa zingine ni shiiiiida
 
Ipo dhana ya kwamba wajerumani wakati wapokuwa wakikurupushwa na waingereza Tanganyika baadhi ya mali zao walishindwa kuondoka nazo,hivyo inasadikika mali nyingi walidhihifadhi chini ya ardhi kwa utaratibu maalumu ambao ktk mazingira ya kawaida si rahisi kuzitoa au kuzihamisha.

Inasadikika mali hizo zitakaa hapo zilipo mpk wao wenyewe watakapoamua kuzifuata,pia inasadikika walitumia "runic rituals"ktk kudhihifadha utaratibu unaoendana na utoaji kafara binadamu.

Yapo maeneo mbalimbali ambako inasadikika masanduku haya yalihifadhiwa, baadhi ya maeneo hayo ni Tanga (usambara), Morogoro, Singida, Lindi, Kilimanjaro na nk.

Yeyote mwenye taarifa zaidi aweza kutujuza zaidi juu ya suala hili, kwani maeneo haya yatakapo julikana vema huenda yakawa chanzo kizuri cha utalii kutokana na historia yake kusisimua.

Nawasilisha.

Wakiinyaka magamba watakupa na asante yako........na kama ni kweli mbona mpaka leo hazijaguswa.? Binadam wa leo wangezikokonoa zamani.....!
 
Mdau kama unadawa yakuchomoa mzgo ushawahi kuchomoa Wapi nawapi?naje ushawa kuushudia mzki wake;au nawewe umeambiwa2 namtu anauwezo wakuya choa.kamahujawahi kushudiaziki Wa hapo nyamaza'ila kama usha wahi kupigamzgo zbitsha tukusonteshee mizgoming
 
Ninacho fahamu wajerumani walikuwa na Ramani ya kuonesha maeneo yote ya TZ yanakopatikana madini ya thamani sio Hazina!
 
Chunya mbeya zipo kibao ukipita polini utakuta nyumba nzuri au kaburi zuri ukienda ukiuliza unaambiwa ni mali hiyo ukirudi pale hukuti kitu hata uzunguke namna gani kwa mtu asye jua lolote anakiona safi.
 
Hakuna kitu kama hicho hapa TZ. Ni story tu za kutaka kupata utajiri wa haraharaka!
 
Habar zenu mwenye FUFUMARK au MERCURY nyekundu awasiliane nami 0716637717 au 0769767771 tafadhali waliosiriasi na wenye kutaka kufanya biashara tu nipo dar es salaam na biashara inafanyika dar matapeli na wasumbufu tafadhali mkae pemben tuwen sirias katika hili.
 
Habar zenu..biashara hii ipo na matajiri wapo hapa dar hivyo mwenye FUFUMARK, MERCURY , PASI NAVINGINEVYO tuwasiliane tafadhali matapeli na wasumbufu mkae mbali biashara inafanyika dar es salaam hakikikisha mzigo upo na uko tayari kwa biashara na sio story za bibi na babu tuache uswahili ndugu zangu na kupotezeana mda namba zangu ni 0716637717 na 0769767771..

NB.matapeli katika biashara hizi n wengi tuwen makin
 
Biashara hii iliwafanya wazazi wangu nusra wanifunge kamba kunipeleka Milembe wakidhania nimekuwa mwehu 1999😡 Sitaki hata kuisikia,nilikuwa nasafiri asubuhi hadi kwa usiku natembelea vijiji vitatu lakini kila mji ukiwauliza wanakujibu uende kijiji jirani kwa mzee fulani kama bado yuko hai unaweza pata maana yeye alishiriki vita ya Mjerumani! ukifika hapo unaambiwa tena nenda kijiji jirani kuna babu mmoja alizikwa nazo yaani hadi nywele zangu zikawa nyekundu kwa vumbi na jua hadi nikaja kujistukia 2003!!
 
Ina maana serikali na viongozi wenye pesa zao hawajui ili jambo????
 
Mkuu hivi vitu vipo ila ni bahati kuvipata ukiweka jitihada hutachanganyikiwa.
 
Mbona hakuna anayeleta ushahidi pasi na mashaka kuwa wamefanikiwa kupata hizo

Mali kwa mfano mtu aseme

Sehemu mfano Iringa wamepa sanduku lenye mali pia na aina mfano dhahabu
almasi n.k
Hapo umesema kweli hizi hadithi ni uzushi hakuna aliyefanikiwa hata mmoja. Ni utapeli tu na kiini macho kuna mzee jirani yangu mstaafu wa jeshi alimaliza kiinua mgongo chote kwenye hizo issue hakuna alichoambulia.Bahati alichimba kisima cha maji ndio anauza ndoo mia walau anajikimu kimaisha
 
Kuna jamaa yangu Rukwa pembeni na ziwa tanganyika alichimba akafika kwenye zege, hiyo cementi sijui ni aina gani haitoboki kwa kwa sururu wala nyundo, alinunua Conc. HCL lita 100 , zina uwezo wa kuyeyusha jiwe lolote hata chuma, walipomwaga palichemka sana, kesho yake walikuta majivu juu ila zege liko palepale, walijaribu kutumia baruti, hamna kitu. Ameishia kulitafutia hati miliki na kuendelea na shuguli zake.
Hivyo kama unadhani umefika mwisho basi jua ngoma bado mbichi
Nahisi kuna kamtandao kamefufuka kanataka kumtapeli mtu..zege gani duniani isiyoripuka kama sio uzushi
 
Ni kweli mkuu nilishawahi kusikia habari km hizi,kule kwetu kuna mwaka jamaa walikuja kanisani wakajifanya wanalibomoa na kulijenga jipya kumbe walikuwa wanataka kuchukua bunduki iliyowekwa kwenye ukuta miaka ya zamani sana!,loh hawa jamaa ni noma.
 
Biashara hii iliwafanya wazazi wangu nusra wanifunge kamba kunipeleka Milembe wakidhania nimekuwa mwehu 1999😡 Sitaki hata kuisikia,nilikuwa nasafiri asubuhi hadi kwa usiku natembelea vijiji vitatu lakini kila mji ukiwauliza wanakujibu uende kijiji jirani kwa mzee fulani kama bado yuko hai unaweza pata maana yeye alishiriki vita ya Mjerumani! ukifika hapo unaambiwa tena nenda kijiji jirani kuna babu mmoja alizikwa nazo yaani hadi nywele zangu zikawa nyekundu kwa vumbi na jua hadi nikaja kujistukia 2003!!

mkuu ungetupa story step kwa step mfano ulienda vijiji gani n amadini gani ulikuwa unatafuta,vikwazo etc tungejifunza mengi kwako kuhusu mali za mjerumani
 
Back
Top Bottom