kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,474
Inasemeka hata shule ya old moshi ya zamani sasa ni kolila inayomilikiwa na kkkt kuna kanisa pembeni ni makaburi ya wajerumani alf kuna handaki mlango wa kuingilia upo ndani ya jengo la shule pia kunasehemu kama mnala full zege yawezekana nako kuna mali pia
nami nilisikia juu hilo hapo kolila...