Malecela: Magufuli hatarini

Malecela: Magufuli hatarini

Mungu wa israel aachekuwalinda wa Israel aje kumlinda magufuli hebu mwongezeeni raisi ulinzi.msilete injili kwenye maswala ya msingi
 
Baadaye wote hata mafsadi watamukubali tu. Maana hamna namna nyingine.
Tutamlinda automatically kama watanzania.
Mkono wa Mungu u pamoja naye pia.
 
Ipo kila sababu ya kusuka upya idara zote za ulinzi na usalama!.
tiss needs change
jwtz chief are good with one heart!
idara zote nyeti kiulinzi needs changes.
 
Anamlenga Jk. Mtu kashastaafu ila haachi kuwa mwenyekiti wa chama hii ina maana gani nzuri maana kwa jicho la 3 Jpm hana nguvu ktk chama?
 
Malecela anaijua nchi hii asipuuzwe.

Mzee Malecela anaijua vizuri nchi na mifumo yake kwa misingi ifuatayo:

1. Aliwahi kuwa makamu wa raisi kwa miaka kadhaa
2. Aliwahi kuwa waziri mkuu kwa miaka kadhaa
3. Aliwahi kuwa mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya ulinzi na usalama
4. Alikuwa mbunge wa bunge la jamhuri kwa miaka mingi
5. Aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa CCM-Chama tawala kwa miaka kadhaa
6. Amewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya CCM-Chama tawala kwa miaka mingi
Halafu tukumbue cha kale ni dhahabu !
Tazama maelezo ya kina zaidi kwa mujibu wa Wikipedia:


  • Tanzanian Permanent Representative to the United Nations - 1964-1968[SUP][2][/SUP]
  • Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
  • Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
  • Communication and Transport - 1973-1974
  • Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
  • Minister in the East African Community - 1975-1976
  • Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
  • Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
  • Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
  • Prime Minister and First Vice President 1990-1994
  • Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to 2007
  • Member of Parliament for Mtera - 1990 - 2010

 
Tanzania tunaongozwa na AMANI na yeyote atakataka kuibua mambo yake TISS itamkabili vilivyo!

Mhe. Dkt. Magufuli anafanya mambo yaliyotakiwa kufanyika miaka ya 90 kiasi kwamba watanzania leo wangekuwa wamezoea utamaduni wa kuwajibika na kuwajibishwa. Sisi tunamwombea sana!

ALIANZA NA MUNGU ATAMALIZA NA MUNGU!
 
Hivi le mutuz amehama hapo nyumbani kwao? au bado kula kulala? Kama bado yupo mpeleke jeshini akapate mafunzo apunguze hiyo minyama minyama aliyofuga kwa pesa za mizinga mizinga toka kwa Nape, Membe na wengineo.
 
Le Mutuz hajitambui japo he's almost 60 years old. Yeye aje apewe ubaunsa kwa Magufuli badala ya kumlinda Mh. rais yeye atakuwa bize kujipiga "Selfie Ekoti Te," na wasichana uchwara anaowapigia promo hapa mjini kwa mshahara wa hugs.

Mda mwingi yupo na wale wazee wazinzi wazinzi wa mjini kazi yake ni Ukuadi tu hana jipya kabsa.
 
huyu mzee mkuda tu,hana lolote ,kama kunatishio lolote asingeropoka ,eti serikali imuongezee ulinzi ,serikali ipi zaidi ya MTUMBUA MAJIPU

Ni mbinu ya kumpigia debe le mutuz ili ajisogeze ikulu kwa kisingizio cha kwenda kumpa Siri.
 
Mzee Malecela anaijua vizuri nchi na mifumo yake kwa misingi ifuatayo:

1. Aliwahi kuwa makamu wa raisi kwa miaka kadhaa
2. Aliwahi kuwa waziri mkuu kwa miaka kadhaa
3. Aliwahi kuwa mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya ulinzi na usalama
4. Alikuwa mbunge wa bunge la jamhuri kwa miaka mingi
5. Aliwahi kuwa makamu mwenyekiti wa CCM-Chama tawala kwa miaka kadhaa
6. Amewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya CCM-Chama tawala kwa miaka mingi
Halafu tukumbue cha zamani ni dhahabu !

Tazama maelezo ya kina zaidi kwa mujibu wa Wikipedia:


  • Tanzanian Permanent Representative to the United Nations - 1964-1968[SUP][2][/SUP]
  • Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
  • Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
  • Communication and Transport - 1973-1974
  • Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
  • Minister in the East African Community - 1975-1976
  • Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
  • Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
  • Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
  • Prime Minister and First Vice President 1990-1994
  • Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to 2007
  • Member of Parliament for Mtera - 1990 - 2010



Alikuwa mkuu wa mkoa Iringa, lakini si kati ya 1980 na 1984. William J. Malecela anaweza kutusaidia kuweka kumbukumbu sahihi.
 
Back
Top Bottom