amanimaendeleo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 251
- 75
Maadui zake Ni hao hao anaocheka nao na kula nao anaowaita wenzake kwani wanaona kama amewageuka, watu hao hawapendi sifa alizopata ,Kasi ya kazi yake na mafanikio aliyopata kwa muda mfupi.
adhari za wabaya wake tayari tumeanza kuziona kwa baadhi ya watu walioshindwa kazi uongozi uliopita kurudi tena kazini ili wampunguze spidi.
tulitaka mabadiliko ya kweli ILA yalishindikana kutokana na mfumo mbovu WA nchi lakini gafla tumepata angalau ahueni kupata mtu aliye ndani ya mfumo mbovu mwenye filosofia ya mabadiliko ya kweli ,ikitokea akazimwa tutarudi kwenye machungu yale yale kilichobaki tumuombee ulinzi wa Mungu.
adhari za wabaya wake tayari tumeanza kuziona kwa baadhi ya watu walioshindwa kazi uongozi uliopita kurudi tena kazini ili wampunguze spidi.
tulitaka mabadiliko ya kweli ILA yalishindikana kutokana na mfumo mbovu WA nchi lakini gafla tumepata angalau ahueni kupata mtu aliye ndani ya mfumo mbovu mwenye filosofia ya mabadiliko ya kweli ,ikitokea akazimwa tutarudi kwenye machungu yale yale kilichobaki tumuombee ulinzi wa Mungu.