nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,692
- 14,079
AmeenHayo uliyotabiri nayafuta kwa JINA LA YESU Kristo hayatatokea kamwe katika nchi hii kwa DAMU ya YESU KRISTO.
Nchi itabaki kuwa ya amani na utulivu na ole wake atakayeleta machafuko hatadumu ingawaje kuna tatizo kubwa sana la kukosekana kwa HAKI na kuminya DEMOKRASIA. Serikali isimamie haki na kuheshimu demokrasia ili amani yetu iwe na maana