Malecela: Magufuli hatarini

Malecela: Magufuli hatarini

Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?

Kwasababu yeye hakuwa anawatendea haki Watanzania walio wengi. Amesha fanya dhuruma nyingi kiasi kwamba hawezi tambua yupi ni rafiki au adui yake. Roho yake haina amani. Na hata Kifo chake kitakuwa ni cha masumbuko sana. Magufuli yeye anafanya kazi kwa kufuata sheria na kumtanguliza mungu, Pale kwenye ukweli pata endelea pa kweli. Hata unapo shtakiwa wakati unajua wazi kweli ulitenda kosa zile nguvu za kutaka kulipiza kisasi zinatoweka na kupotea.
 
Njia nzuri ya Magufuli kuimarisha ULINZI wake hasa ktk nchi zetu za kiafrika, ATOE WALE WANA USALAMA NA WALINZI WOTE WA Jakaya Kikwete karibu yake...!!!

In other words, WALE SHUSHUSHU wa JK hata wasikaribie kujua Magufuli anafanya nn, HILI NI MUHIMU KULIKO YOTE.... This is the biggest issue... ULINZI wa Rais maana yake wale wanaomlinda Rais HAWATAKIWI KABISA KABISA kutoa siri za RAIS... so Magufuli inatakiwa from bodyguard to State House Staffs, to close people around him, WAWE WATU WAKE DAMUDAMU... tupa kuleeeeeee watu wa JK....

Duuu jamaa unaelewa kweli system ya bongo
 
Magufuli aongezewe ulinzi wa nini wakati ni kipenzi cha watz,wamuue waone mimi nitaanzisha kundi la ISIS kwaajili ya kuwaua mafisadi wote hata kama haujashiliki kuua,na nitaanza na mkuu wao yule mwenye nywele nyeupe alafu namaliza na madereva wa magari yanayobeba makontena

Naona umevimbiwa kibaraka mkubwa kwanini husianze na babako?
 
nini 14:58 Today
Nani amuongezee ulinzi ilihali yeye ndie
serikali.si ajiongezee ulinzi.japo mi naamini
watanzania tupo pamoja nae.

mlinzi wa kweli ni Mungu , tumwombee

Hiyo ndiyo point kubwa kuliko kubwabwaja yaani wao wana machungu kuliko yeye?
 
Thubutu! Nani amdhuru hakuna kitu kama hicho kwa Tanzania. Hilo la kusema atadhuriwa si la kuhofia hata kidogo. Nasema kwa herufi kubwa HAIWEZEKANI. Labda Somalia.
 
Vipi cc ya ccm jana iligusia meli ya kigogo iliyokamatwa ughaibuni na meno ya tembo?

Hapa agenda ni ulinzi wa rais we unakurupuka na meli iliyokamatwa ughaibuni wapi na wapi
 
Rais akipatwa na tatizo lolote from now huyu mzee inabidi atafutwe anyooshe maelezo....
 
Amiri jeshi mkuuu wa. Majeshi ya ulinzi na usalama aongezewe ulinzi na nani,?? Mambo mengine bwana!!
 
Naamin Mungu atamlinda.



Wee acha kumsingizia Mungu... ajilinde kwa nguvu zote, then Mungu ndio nae atamsaidia... CCM ni mafia hatari sana... wana kolimba... CCM hawana UTU wala Macho... so Magufuli ajikinge na CCM kuliko kitu chochote kile... acheke nao tu mdomoni..ila ajue moyoni CCM ni hatariii sanaaa
 
Back
Top Bottom