Malecela: Magufuli hatarini

Malecela: Magufuli hatarini

Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.

Chanzo:JamboLeo

Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.

Rais analijua hilo hata kabla hajaanza kutumbua majipu......
 
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.

.. unaongea tu wewe, nani asiyewajua ninyi watanzania ? mtafanya nini zaidi ya kuongea tu humu na siku hizi kuna cyber-crime?.tumuombee rais wetu Mungu ampe ulinzi wa uhakika
 
Serikali imuongezee ulinzi? JPM mwenyewe ndo serikali. Anaweza kujiongezea kwa kadri anavyotaka. Hana mtu wa kumwomba. Anajiamulia mwenyewe!
 
Ujinga ni mzigo ni lini binadamu akamlinda binadamu mwenzie? Mungu ndo mlinzi wa mtu ukiona mtu kafa siku imefika ka yesu alionja mauti sembuse mtu mdogo sana? Haya leteni na jeshi la marekani limlinde.
 
Mda mwingi yupo na wale wazee wazinzi wazinzi wa mjini kazi yake ni Ukuadi tu hana jipya kabsa.



Hakuna mtu aliyekuwa na akili ya uji kama kale kazee, kwanza ni kambea na ni mtesi sana shinda hata mademu wa kawaida, sijuwi baba yake anamfikiriaje mwanawe?
 
Ameongea jambo la msingi,kwa sababu kj Amelea wahuni wengi sana na wenye kiburi ya pesa na hao ndio wasumbufu zaidi.Aluta continue Mr.Magufuli fear not stand ferm God is there to protect you.
 
Wajitahidi kusema chochote ili serikali mpya na viongozi wake waendelee kutajwatajwa kwenye vyombo vya habari. Huyu mzee amewahi kuwa sijui makamo wa ngapi wa rais, ni waziri mkuu msitaafu, anazuga tu huyo, hajashindwa kupeleka wasiwasi wake kwa watu wanaohusika.
 
Mzee Machela pumzika babu yangu, umeona kitu lakin Ulinzi bila Mungu akeshaye akesha bure! Tafari,
 
Back
Top Bottom