Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,984
- 11,794
Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.
Chanzo:JamboLeo
Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.
Rais analijua hilo hata kabla hajaanza kutumbua majipu......