DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Magufuli analindwa na Mungu....atakayejaribu kumdhuru Magufuli atakuta kichwachake kimening'inizwa kwenye mlango wa kuingilia nyumbanikwake
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Nani amuongezee ulinzi ilihali yeye ndie serikali.si ajiongezee ulinzi.japo mi naamini watanzania tupo pamoja nae.
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Magufuli analindwa na Mungu....atakayejaribu kumdhuru Magufuli atakuta kichwachake kimening'inizwa kwenye mlango wa kuingilia nyumbanikwake
Nani amuongezee ulinzi ilihali yeye ndie serikali.si ajiongezee ulinzi.japo mi naamini watanzania tupo pamoja nae.
Le Mutuz hawazi kukubali kazi ya ulinzi hasa baada ya lile dawati la lishe Ikulu kuondolewa na Dr Magufuli.