Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,906
Ha ha ha ha ha ha ha ha. .
I'm humbled u know!
Kuna mwenye tatizo huko?.
Ha ha ha ha ha ha ha ha. .
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Patachimbika....
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.
Waziri mkuu mstaafu, bwana John Malecela, amesema ana hofu ya Raisi Magufuli kuhujumiwa na ameitaka serikali imuongezee ulinzi na kwamba isidharau.Mzee Malecela pia amekwenda mbali zaidi kwa kukumbuka jinsi Mwalimu Nyerere alivyotaka kupinduliwa.
Chanzo:JamboLeo
Bora na wakubwa nao sasa waseme,wengine tumebaki tu yetu macho na masikio.
Le Mutuz anafaha sana sector ya ulinzi.
Watanzania tulio wengi tunamwuombea .mungu atamlinda
Kweli kabisa.
Tukumbuke na yaliyotokea "ajali" ya Sokoine.
Wanaotikiswa safari hii wamo kambini mwa watawala.
Kwa lipi alilofanya hadi atake kuuwa wa kufuguza wafanyakazi 70 mbwembwe za kumkuza wakati hajadeliver
Anajipa tu ujiko.Hakumbuki yeye si rais tena. Na wala hatakaa awe tena milele. Hata akina Geo Davy na Gwajima wana walinzi.
Hahaha acha mabiti.utafanya nini sasa wewe kama wewe
Mzee malechela anatafuta kick tu ili mkewe aliyekosa ubunge akumbukwe kwenye U DC
Mambo haya yasizungumzwe kwa mzaha na kejeli ni mambo mhimu kwa taifa letu kutokana najuhudi zinazoganywa na rais wetu.
Matajili wengi wanaguswa sana na hizi juhudi za kubana matumizi unagusa mashirika ya ndege kampuni za uwakala makampuni ya kuuza magari hivyo si jambo la masikhara
Lakini unapozungumzia madawa ya kulevya unaigusa dunia maana mtandao wa madawa ya kulevya umeenea dunia nzima na wafanya biashara hii wa utajiri wa kupindukia huku wakimiliki vikosi vyao vya ulinzi katika baadhi ya nchi.
Tumuombee katika ibada zetu kama alivyosema yeye mwenyewe katika hotuba zake