Hawezi kuwa mshauri wa kitaifa tena baada ya Mtera kumuona hana la maana bora kibajaji. Atuambie hiyo hatari no ipi kwanza na nani anamshuku kufanya hayo. Sio wamelala na mkewe aliyepigwa chini ubunge kama yeye wakiamka ndoto zao wanazitoa hadharani zijadiliwe.
Kwani yule jamaa wa nchi jirani Lawrence Kabila hakuwa Amiri jeshi mkuu wa Taifa lake la Congo?Hii nchi bana kila mtu anatafuta KIKI,,, amiri jeshi mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama hawezi kushindwa kujua mahitaji yake kiulinzi na usalama, unless kama watu wanamuona -----. Magufuli anajua nini anafanya
Kikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know
Hata mimi nimebaki kushangaaKikwete(Rais Mstaafu) ana ulinzi mzito kuliko Magufuli.Why?
Hawezi kuwa mshauri wa kitaifa tena baada ya Mtera kumuona hana la maana bora kibajaji. Atuambie hiyo hatari no ipi kwanza na nani anamshuku kufanya hayo. Sio wamelala na mkewe aliyepigwa chini ubunge kama yeye wakiamka ndoto zao wanazitoa hadharani zijadiliwe.
analindwa na Mungu
Namuunga mkomno Mzee Malechela kwani Mh. Rais ana maadui japo wachache lakini wenye jeuri ya pesa!!! Aongezewe ulinzi.
Mungu wa israel atamlinda maana anayoyafanya yanawasaidia sana watu wake