TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 8,859
- 23,119
Kale ka dj kachako mwenye dred na sura ya kike. Dogo namkubaligi sana yule akianza kugonga old school za mbele lazma umpe biaHahahaa.. wanazidiwa hata na dj wa chako ni chako...
Kale ka dj kachako mwenye dred na sura ya kike. Dogo namkubaligi sana yule akianza kugonga old school za mbele lazma umpe biaHahahaa.. wanazidiwa hata na dj wa chako ni chako...
Mkuu naunganisha na uzi wa Shishi Foods hapo Dodoma. It seems customer care hapo Dom ni janga kweli kweliKiukweli Dodoma kwetu hapa customer care ni mbovu mnoo sio huko bar, lounge, Hotel, cafe kote huduma ni mbovu..
Kama hapo bambalanga mameneja ndani wanakuforce ununue vinywaji vingi wakati nachagua ninywe kiasi gani..
Kuna siku nilikuwa sehemu moja hapa nikaagiza msosi dakika 40 ndio wakaleta na wakati wanadai wana fast food..!
Waiters wenyewe wamekariri matajiri fulani ndio wanahudumia vizuri. Ukiwa wewe hakujui anakupita kama hakuoni..
Mimi huwa nawanyandua tu ndio utapata service vizuri,
Na wewe ni mfupi mkuu?Aise, huu ujinga umeanza kuingia Tanzania😳. Kenya wanao sana, kuna siku nilikuwa nimeenda Club 1824 iko Nairobi baunsa akataka kunizuia. Hiyo siku hawatokaa waisahau.
Ni Kawaida tu, ingawa huwa najiona mfupi lakin sijawahi kuitwa mfupi. Hiyo siku nilikuwa nimenyoa ndevu 😃😃 ndio maana.Na wewe ni mfupi mkuu?
Hahhahah ngoja wadau wapenda mitoko waje.Thank you...mnitoe out jamani nilivo mvivu hapa nimelala tuu!!!since morning
Tena ukienda na Hubby ndo kabisaaa wanaweza wasije hapo kwny meza yenu. Na wakija wanafanya kama wamelazimishwa mr ndo anawakomeshaga ikibaki hata mia tano atadai mpk wampe.
Pale pa kingese sana. Niliwahi fika pale onetime eti baunsa ananipanga mlangoni kwamba eti kama nataka manzi yeye anamjua ambae ni classic na ametulia, akinipa connection sitajuta.
Jamaa nilimwona fala ila nikamzingua. Nilimwambia mm sipendi madem napenda kufi.l.a mabaunsa. Chaajabu jamaa eti hata hakunidunda.
Nikachoma ndani kulikuwa kumejaa hata sehemu ya kukanyaga hakuna. Watu wananunua vinywaj kwa sifa yani mtu mmoja anunua hata bia 20 pekeake na kuzijaza kenye meza huku vile vichangudoa vyao vilivyochoka vikicheza amapiano. Sikununua bia hata moko nikasepa zangu.
Sema jamaa anapiga sana pesa asee
Unampa bia huku unafurahi ndio raha ya bia, kuna mtu anakufurahisha mpaka unafurahi, ukimpa kitu roho haiumi yaani.Kale ka dj kachako mwenye dred na sura ya kike. Dogo namkubaligi sana yule akianza kugonga old school za mbele lazma umpe bia
Ndio ukweli wenyewe mkuu, hiyo shishi food si ni mpya kabisa?Mkuu naunganisha na uzi wa Shishi Foods hapo Dodoma. It seems customer care hapo Domi ni janga kweli kweli
Kale ka dj kachako mwenye dred na sura ya kike. Dogo namkubaligi sana yule akianza kugonga old school za mbele lazma umpe bia
Mkuu star park huduma nzuri ?Du hv ni lazima kuingia hapo coz naona zipo sehemu nyingi tu za kuburudika. Hizo pigo nilizionja Florida ya msamvu nimeshuka na maji yangu mkononi ile naingia tu getini mlinzi akaniambia sitakiwi kuingia na maji, nkamuuliza kwann akasema bosi ndio kaamua hvyo. Nikamuuliza kwahyo maji yangu nitupe au ninywe kwa kujilazimisha? akanisihi sana naomba hata uyaache tu ataniangalizia nisimuaribie kazi. Kwakweli sikumuelewa nikaingia ile kufika kaunta nmekaa tu weita ananiambia siwezi kukuhudumia mpk urudishe hayo maji nje ya geti. Nikajiuliza swali Moja tu hv mm ndio wa kubembeleza ninywe hapo au wao ndio wa kunibembeleza Mimi. Niliapa kutofika hapo nikajichanganya Star park Nikala gambe zangu za kutosha.
Za wastani tu mkuuMkuu star park huduma nzuri ?
TOTOS zipo ?
Maana nitakuwa na road trip moro
Totoz ziko za kutosha Samaki SamakiMkuu star park huduma nzuri ?
TOTOS zipo ?
Maana nitakuwa na road trip moro
Nimeambiwa kule zipo za kishamba star park wapo wakaliTotoz ziko za kutosha Samaki Samaki
Au ni wewe mwenyewe uliyerudishiwa langoni?Wakuu Weki Iendelee.
Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.
Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.
Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.
Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.
Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842