Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,743
- 40,445
Keshatajirika huyu naona hapo leo anatoka dubai kula bataBahati mbaya walioua pestana ndo walewale yuko nao Bambalaga ...
Keshatajirika huyu naona hapo leo anatoka dubai kula bataBahati mbaya walioua pestana ndo walewale yuko nao Bambalaga ...
Biashara zile mzee hua wanachezesha tu Asset Vs Liability...ila kiukweli net asset hua ni ndogo au -ve kabisa. Ila kwakua biashara inaendelea hakosi yela ya kula ila leo akidaiwa paaap usishangae akajiua au akapata uchizi. Bar ni utajiri kichaa asikwambie mtuKeshatajirika huyu naona hapo leo anatoka dubai kula bataView attachment 2054539
Sure..Biashara zile mzee hua wanachezesha tu Asset Vs Liability...ila kiukweli net asset hua ni ndogo au -ve kabisa. Ila kwakua biashara inaendelea hakosi yela ya kula ila leo akidaiwa paaap usishangae akajiua au akapata uchizi. Bar ni utajiri kichaa asikwambie mtu
Dead broke balaaa mungu ampunguzie mapito yakeDuh, hahahahaha lakini uzuri hajafilisika.
Biashara zile mzee hua wanachezesha tu Asset Vs Liability...ila kiukweli net asset hua ni ndogo au -ve kabisa. Ila kwakua biashara inaendelea hakosi yela ya kula ila leo akidaiwa paaap usishangae akajiua au akapata uchizi. Bar ni utajiri kichaa asikwambie mtu





Duh pole zakeDead broke balaaa mungu ampunguzie mapito yake
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mbona sura kama mwendazake, no wonder anatumia hizo approch za nguvu bila akiliKeshatajirika huyu naona hapo leo anatoka dubai kula bataView attachment 2054539
HahahahahsNafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.
Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.
Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
Frank Mtei
YeapFrank Mtei
Madem wakali basi ndio siri ya huu mchezo.Saivi nimeona samak moro amerudi kwa kasi huku starpark akifulia. Hizi biashara aijui zina siri gn asee
Unaishi hapa Dodoma?Yeap
Pale nliendaga nliienjoy sana,daah tuombe uzima ntarudi one day,Ila wabongo wanajua kutumiaMuwe mnaenda chako ni chako chimbo kongwe sana na pametulia japo mara chache vurugu hazikosekani, unapiga vyombo na mziki laini pembeni kuku choma ukichoka unajichagulia mtoto unaehitaji unaondoka nae bila tatizo, hakuna kubaguliwa wala Nini.
Mtei sio mtu wa mchezo mchezoNachoona hapo Dodoma kuna demand kubwa sana ya starehe kuliko industry yenyewe inavyoweza kusupply,ndo maana mtu akiwa na kakiwanja kama huyo anawaletea taratibu za ajabu ajabu na bado mnaendelea kwenda,Dar ukifanya hvyo bar yako inakufa mchana kweupe,walevi wa Dar wako tyr kujazana hata liquor store .Huyo jamaa ana business model ya kifara kama anataka certain type ya wateja iwe membership club au awachuje wateja kwa kuweka kiingilio kikubwa na kucharge vinywaji bei kubwa.
Iko wazi sasa, ila sio ya wanafunzi tena kama kipindi cha nyuma kuna taratibu ngumu sana kama hela yako ni ya mawazo.Pestana waliifunga ndio wakafungua hii.
Say this againBambalaga inakaribia kufa, juzi jpili kulikua patupu sio km zaman
Unayoyasema ni ya kweli ila Mtei kwenye hii biashara amei-win sana Dodoma na anafanya vitu vingine vikubwa.Biashara zile mzee hua wanachezesha tu Asset Vs Liability...ila kiukweli net asset hua ni ndogo au -ve kabisa. Ila kwakua biashara inaendelea hakosi yela ya kula ila leo akidaiwa paaap usishangae akajiua au akapata uchizi. Bar ni utajiri kichaa asikwambie mtu