monte caro
Member
- May 9, 2014
- 10
- 9
Malalamiko ya bar ya Bambalaga, Dodoma,
Mabaunsa wanachagua mtu kulingana na muonekano wake, mwembamba au mfupi au mnene au umekonda ama una sura ya kitoto huwezi ingia..
Nimekuja Dodoma leo na team ya kazini kwangu watu 11 wanne wameruhusiwa na 7 tumekataliwa shida ni nini?
Baunsa wanataka elfu 50 kwa pamoja tuweze kuingia ndani, ni halali? Naomba mmiliki kuweza kutagiwa nimekua pissed off kama meneja wa wafanyakizi wangu kuweza kuzuiliwa nje
Ahsante
JF
Mabaunsa wanachagua mtu kulingana na muonekano wake, mwembamba au mfupi au mnene au umekonda ama una sura ya kitoto huwezi ingia..
Nimekuja Dodoma leo na team ya kazini kwangu watu 11 wanne wameruhusiwa na 7 tumekataliwa shida ni nini?
Baunsa wanataka elfu 50 kwa pamoja tuweze kuingia ndani, ni halali? Naomba mmiliki kuweza kutagiwa nimekua pissed off kama meneja wa wafanyakizi wangu kuweza kuzuiliwa nje
Ahsante
JF