Malalamiko ya bar ya Bambalaga, Dodoma

Huko kutakuwa na uhaba wa viwanja tu,mara huduma mbovu,mara undava wa kingese,hapohapo eti watu wamejaa hadi hakuna pa kukanyaga,mimi hapa nilipo najua niende wapi nikapate huduma safi ya vinywaji nk,najua mahali penye chakula safi na huduma za heshima,nikitaka mengineyo najua pa kwenda, tena sometimes unaumiza kichwa wapi uende,maana unakuta kuna sehemu kama kumi zenye hadhi unayoitamani,ill stay here!!
 
Kiukweli Dodoma kwetu hapa customer care ni mbovu mnoo sio huko bar, lounge, Hotel, cafe kote huduma ni mbovu..

Kama hapo bambalanga mameneja ndani wanakuforce ununue vinywaji vingi wakati nachagua ninywe kiasi gani..

Kuna siku nilikuwa sehemu moja hapa nikaagiza msosi dakika 40 ndio wakaleta na wakati wanadai wana fast food..!

Waiters wenyewe wamekariri matajiri fulani ndio wanahudumia vizuri. Ukiwa wewe hakujui anakupita kama hakuoni..

Mimi huwa nawanyandua tu ndio utapata service vizuri,
Kuna vipub ukienda asubuhi wanakataa kukuuzia bia eti muda bado!!
 
Dawa ndo hiyo kuwa kauzu, huduma wakupe mbovu na bado uwaachie tip hata ya 200 ..! Itakuwa ujinga dai..

Hao wanataka faida ya haraka. Mfano wanapoingiza madada poa wao ndani ili tununue, sasa mmeo akija na wewe atanunuaje? Si wanapata hasara?

Pia akiwa na wewe atapunguza matumizi tofauti na akienda mwenyewe atawanunulia wale Dada poa mpka basi..

Lakini hivi wanavyofanya sio powa Mimi nilijua pale capital watakuwa na huduma nzuri kumbe..
Halafu wanachagua sana watu wa kuwahudumia, kama hawakujui wanakupotezea, ndo maana nikiingia bar za Dom nakaa kaunta tu
 
Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.

Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.

Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
kwa hiyo watu wa fupi hawaruhusiwi Kuingia hiyo Bar?
 
Pale kwa mandason,biashara imeshakufa pale mana hana ubunifu halafu wafanyakazi hawalipi
Juzi nilikuwa natembea tembea mjini mara nikajikuta maeneo ya picnic nikasema ngoja nijikumbushie ujana wangu nikaingia bana, Dah wale madada sio, wale itakuwa kwa siku wanaingiza laki, maana sio kwa maumbo yale. Wengine hadi kutembea hawawezi
 
Juzi nilikuwa natembea tembea mjini mara nikajikuta maeneo ya picnic nikasema ngoja nijikumbushie ujana wangu nikaingia bana, Dah wale madada sio, wale itakuwa kwa siku wanaingiza laki, maana sio kwa maumbo yale. Wengine hadi kutembea hawawezi
Pale ni noma mimi nkiwa mjini chakula cha mchana nakula hapo wanajua kupika...hao wadada wako kibiashara vijana ndio humalizia pesa hapo hasa wa utalii
 
Pale ni noma mimi nkiwa mjini chakula cha mchana nakula hapo wanajua kupika...hao wadada wako kibiashara vijana ndio humalizia pesa hapo hasa wa utalii
Picnic wacha kabisa nikiwa ziarani hapo ndipo huwa nashindia huku nafurahia uumbaji wa Mungu wale wahudumu na zile nguo zao wacha kabisa nakumbuka siku moja nilikuwa mbwii nikachukua goma moja hapo asikuambie mtu kama siku ile sikupata UKIMWI basi ndio sipati tena nilisugua ile kitu kuja kushtuka Ring ndio imebaki katika mashine 😆😆

Kwa dodoma kawaida sana hiyo bambalaga wanaenda wanafunzi na baadhi ya vijana wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja watu na akili zetu utatukuta Rainbow ama Royal…
 
Back
Top Bottom