Malalamiko ya bar ya Bambalaga, Dodoma

Hio hipo ata pale Royal village niliwai kwenda nimevaa viatu vya wazi na suruali fupi (pensi) wakaninyima kuzama ndani inabidi nirudi chimbo langu la chakonichako na liquid
 
Unayoyasema ni ya kweli ila Mtei kwenye hii biashara amei-win sana Dodoma na anafanya vitu vingine vikubwa.

Wakija washindani ambao sio washikaji zake labda watamuweza ila kwa sasa bado sana, hana wahudumu wakali kama clubs zingine wana uniformity mbayaa ila kizizi chake sijui cha wapi.
Hata Dj's wake hajatoa Dar wametoka kanda ya kati hapahapa
Sahivi hali ya biashara ikoje huko maana wadau walilalamika sana
 
Wakuu Weki Iendelee.

Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.

Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.

Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.

Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.

Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Kwani lazima kunywa hapo wakuu jamani ?
 
20220514_231342.jpg


Bado wanadunda
 
Nimetoka hapa mda si mrefu mhudumu ananiambia chukua risiti watakuuliza wakati unatoka.
Nimepita jamaa akataka kunifuata ila akasita maana aliona hii sura kauzu sana😂
 
Wakuu Weki Iendelee.

Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.

Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.

Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.

Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.

Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Ndiyo maana tuna uhaba wa mabilionea weusi maana ngozi nyeusi akipata pesa Kidogo, akili inawaza pombe, ngono na kwenda kukaa bar nakusikiliza makelele, siku ukiona muhindi au mwarabu kakaa Bar ujue huyo alishapoteza dira kitambo

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Weki Iendelee.

Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.

Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.

Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.

Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.

Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Hayo ni mambo yenu ya mikoani.

Ila mikoani kuna vituko sana.
 
Back
Top Bottom