Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,058
- 54,337
😄😃😀Yaani Kofia Ndiyo KigezoAisee hawa jamaa ni wapuuzi, nakumbuka tulienda pale na mshikaji wangu akiwa kavaa kofia wakamzuia et ni muhuni, niliwaangalia sikuwamaliza.
😄😃😀Yaani Kofia Ndiyo KigezoAisee hawa jamaa ni wapuuzi, nakumbuka tulienda pale na mshikaji wangu akiwa kavaa kofia wakamzuia et ni muhuni, niliwaangalia sikuwamaliza.
ameifungua tena haina muda mrefu sana.Iko wazi sasa, ila sio ya wanafunzi tena kama kipindi cha nyuma kuna taratibu ngumu sana kama hela yako ni ya mawazo.
Sahivi hali ya biashara ikoje huko maana wadau walilalamika sanaUnayoyasema ni ya kweli ila Mtei kwenye hii biashara amei-win sana Dodoma na anafanya vitu vingine vikubwa.
Wakija washindani ambao sio washikaji zake labda watamuweza ila kwa sasa bado sana, hana wahudumu wakali kama clubs zingine wana uniformity mbayaa ila kizizi chake sijui cha wapi.
Hata Dj's wake hajatoa Dar wametoka kanda ya kati hapahapa
Hapana ila nakuja mara nyingiUnaishi hapa Dodoma?
Aisee hawa jamaa ni wapuuzi, nakumbuka tulienda pale na mshikaji wangu akiwa kavaa kofia wakamzuia et ni muhuni, niliwaangalia sikuwamaliza.
Mkuu nilishangaa kwa herufi kubwa.😄😃😀Yaani Kofia Ndiyo Kigezo
Kwani lazima kunywa hapo wakuu jamani ?Wakuu Weki Iendelee.
Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.
Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.
Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.
Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.
Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Ina hatarishaInashangaza sana
Ndiyo maana tuna uhaba wa mabilionea weusi maana ngozi nyeusi akipata pesa Kidogo, akili inawaza pombe, ngono na kwenda kukaa bar nakusikiliza makelele, siku ukiona muhindi au mwarabu kakaa Bar ujue huyo alishapoteza dira kitamboWakuu Weki Iendelee.
Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.
Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.
Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.
Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.
Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Hayo ni mambo yenu ya mikoani.Wakuu Weki Iendelee.
Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.
Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.
Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.
Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.
Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842