Malalamiko ya bar ya Bambalaga, Dodoma

Aise, huu ujinga umeanza kuingia Tanzania😳. Kenya wanao sana, kuna siku nilikuwa nimeenda Club 1824 iko Nairobi baunsa akataka kunizuia. Hiyo siku hawatokaa waisahau.
 
Hahahaaaa...
Ngoja niwasiliane na bwana mdogo FM nimfikishie malalamiko yenu.
Ila nanyi wateja muwe na uelewa,pale sio "Buza kwa Mpalange".
Nendeni kiheshima na watu wa heshima wanaostahili.
Frank Nilishamwambia Sana Hili Jambo Ila naona Kama Bado ana kibuli cha kuonekana ana Sehemu Nzuri na classic, Haya mambo ndio yalimfanya samaki² Moro watu wakamkimbilia Star park Kwa huo undava wao.
 
Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.

Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.

Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiii
 
Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.

Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.

Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
Aliruhusiwa baada ya kutoa kibunda..
 
Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.

Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.

Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
 
Back
Top Bottom