serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,306
- 4,681
Mmiliki mmoja
Malaika iko jirani tuu na hapo huna haja ya kwenda hapo Bambalaga
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Ice Age club kwa jamaa wanamwita RainfordKwa nani hapo
Oh kumbe, inabidi nikajionee hayo this weekend hahaha
Rayford.Kwa nani hapo
Frank Nilishamwambia Sana Hili Jambo Ila naona Kama Bado ana kibuli cha kuonekana ana Sehemu Nzuri na classic, Haya mambo ndio yalimfanya samaki² Moro watu wakamkimbilia Star park Kwa huo undava wao.Hahahaaaa...
Ngoja niwasiliane na bwana mdogo FM nimfikishie malalamiko yenu.
Ila nanyi wateja muwe na uelewa,pale sio "Buza kwa Mpalange".
Nendeni kiheshima na watu wa heshima wanaostahili.
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiiiNafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.
Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.
Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
Hamjaonewa ...jua haliwachomi kama sisi.Bado nalalamika.Sisi watu "wafupi" tunaonewa kila "engo"!Mola atunusuru na kutujaalia hela tununue raizoni tuonekane "matolo" aka warefu!😝😝😝😝😝😝
Sawa, Lakini zipo Location tofauti na ziko mbali mbali...So, hapaswi kuzichanganya.Mmiliki mmoja
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiii
Aliruhusiwa baada ya kutoa kibunda..Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.
Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.
Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
Ina maana ile club imekufa mkuu?
Hahahahhahhah kuna bestie angu alirudishwa kisa mfupi wakati tunaelekea late 30's. Basi waanze kuangalia vitambulisho khaaaaa
Nafikiri lengo lake ni kupata wateja hadhi ya wabunge wakurungenzi walioko dodoma.
Sema ni tabia mbovu bora ata waweke entrance ata ya laki 1 au 50 elfu.
Nakumbuka siku moja niko na jamaa yangu mfupi huyo tume toka kuuza dhahabu sehemu. Tuna jiwe la kutosha kufika pale si mlinzi anamzuia jamaa. Jamaa alitema shit afu akachomoa vibunda 3 huku anatema shiti tuu
wanafunzi wa level gan? Au hawatoi ufafanuzi? Maana km n wa chuo si mtu mzima anaruhusiwa. LolWanaudhi kweli japo sijawahi zuiwa ila rafiki zangu walizuiwa wakaambiwa wanafunzi . Wangeweka watu wawe wanaingia na coupon kama wanaona watu wanajazana bure.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kna inayoitwa ??Aende Rainbow.. malaika chenga tuu
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiii