Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 313
- 2,649
Kwa Masikitiko makubwa ninatoa taarifa ya Kifo cha Mzee Makwaia wa Kuhenga (Pichani) ambaye alikuwa akiendesha kipindi maarufu cha "Je, Tutafika? (Shall we Make it?) katika runinga ya Channel Ten.
Mzee Makwaia alifanikiwa kuibua mijadala mbali mbali iliyokuwa na tija nchini kwenye nyanja za Kiuchumi, Kisiasa na Kidiplomasia.
Tutaendelea kumuenzi kwa mazuri yake, Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema la milele.
Mzee Makwaia alifanikiwa kuibua mijadala mbali mbali iliyokuwa na tija nchini kwenye nyanja za Kiuchumi, Kisiasa na Kidiplomasia.
Tutaendelea kumuenzi kwa mazuri yake, Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema la milele.