TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

RIP kweli amefika
Miongoni mwa waandishi walionivutia sana katika uandishi wa utoaji maoni Tanzania. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani na awapatie wafiwa wote - familia, ndugu, jamaa na marafiki faraja wakati huu wa msiba. RIP
 
Ndivyo alivyokuwa anatafsiri yeye
Makwaiya
Basi kama alikuwa anauliza kama Shall we Make it..., Yaani Je Tufike / Tufanikiwe nadhani jibu lipo wazi hakuna ambaye hataki kufanikiwa.... Ila kama alikuwa anauliza Je Tutafika (Yaani kwa upuuzi unaofanyika sasa) basi jibu ni kwamba hatuwezi kufika na tunazidi kupotea tena sasa ni zaidi ya hata hapo nyuma...., Tunahitaji kurudi ili kutafuta njia.....

RIP - Na kujibu swali lake ni kwamba Hapana Hatuwezi kufika, sababu njia tuliyopo sio sahihi
 
Back
Top Bottom