TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

Kwa Masikitiko makubwa ninatoa taarifa ya Kifo cha Mzee Makwaia wa Kuhenga (Pichani) ambaye alikuwa akiendesha kipindi maarufu cha "Je, Tutafika? (Shall we Make it?) katika runinga ya Channel Ten.

View attachment 3511493
View attachment 3511494

Mzee Makwaia alifanikiwa kuibua mijadala mbali mbali iliyokuwa na tija nchini kwenye nyanja za Kiuchumi, Kisiasa na Kidiplomasia.

Tutaendelea kumuenzi kwa mazuri yake, Mwenyezi Mungu ampe pumziko jema la milele.
Aendee tuu aliku kada kindaki ndaki wa chama japo alikua hajionyeshi ni mpakanawe anahoji mtu wa upinzani ndo utajua
 
Nilikuwa napenda kufatilia kipindi chake cha Je Tutafika?

Na kile cha TBC “This week in perspective” cha Mzee Adam Simbeye

Lakini pia cha “Kasongo Hour” cha Mzee Hamza Kasongo pale Chanel Ten

Pumzika kwa amani Mzee Makwaia wa Kuhenga!!
Hamza kasongo yupo wapi sasahv?
 
"Je, Tutafika? (Shall we Make it?) katika runinga ya Channel Ten

Hayo alisema yeye au umemuwekea ? Sababu the latter sio necessarily the same as the former.....
Ndivyo alivyokuwa anatafsiri yeye
Makwaiya
 
RIP apumzike kwa Amani alikua anakera kuuliza swali na ana jibu lake mwenyewe halafu anajibu hapohapo!
 
"Je, Tutafika? (Shall we Make it?) katika runinga ya Channel Ten

Hayo alisema yeye au umemuwekea ? Sababu the latter sio necessarily the same as the former.....
EEEeeeNHEeeeee!

Basi natuseme "Shall we Arrive", EeeeNHeeeEEh!
 
Kama kumbukumbu zangu ni Sawa, Makwaia Kuhenga alikuwa kwenye timu ya ulinzi wa Nyerere hadi Nyerere alipoachia madaraka 1985. Alishakuwa mtu mzima sana; mungu aipumzishe roho yake pema peponi.
 
Pumzika Mzee ulikua na kipindi bora kwenye Nchi Watawala hawapendi kusikia kauli kutoka kwenye hivyo vipindi.
 
Back
Top Bottom